Mama Mobetto amuombea msamaha mwanaye kwa wote wanaomtukana

Mama Mobetto amuombea msamaha mwanaye kwa wote wanaomtukana

Hivi unafikiri kwa akili za bongo muvi nani anaweza toa mimba ya mondi?[emoji3][emoji16]tuwe wakweli
Sasa Hivi hali ngumu bongo movie hawatoi mimba Ovyoo waambulie child support Sio Kama Wa Zamani mtu Abeee mimba atadanga saa ngapi?? Siku Hizi madanga yametulia na familia Zao
 
Hilo moja lisifanye ndo aonekane yeye Malaya aliyekubuhu mpk eti kuona Zari msafi au malaika
Hapana kwenye umalaya wake sitii neno maana Hamisa bado mchanga sana kwenye game la umalaya ukimcompare na Zari. Shida yangu kwa hawa watu wawili ni kuhusu Diamond tuu hamna lingine
 
Hapa hatumtetei mtu zari aliyataka mwenyewe kuwa na msanii,.. na akirudiana nae bass atakuwa mjinga
Tatizo hamisa alishakosea step moja nyuma avune alichokipanda na sio kulia kulia .. mbona ye wakati anamkomesha zari mwenzie alikuwa kimya,mpira ukirudi kwa kipa kidogo tuu anaanza kulia lia kwani zari kamuita mond south si kaenda mwenyewe analia nini sasa badala ya kulea iyo mimba na sio kumtishia mond kwamba hii mimba nitaitoa ukienda kwa zari
Zari nae alibugi bwanaa hivi ndugu yangu we hapo umekutana na mtu Leo mwezi mmoja mimba kaaah!

Akili matope!Mtoto hajatembea mimba ya pili[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]yaani sie wanawake bwana!
 
rekebisha hapo juu" diamond hajawahi kuwa mume wamtu "" Au kibongo bongo watu wakifanya umalaya "" muda mrefu basi wanakuwa tayari ni wana ndoa ""...?

My dear..hivi mnalikataa hili kwa kuwa ni Dai au? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mnanichekesha mnavyotumia nguvu..anyway.
 
Ila Hii ya sasa hivii kiboko kichambo Kuanzia mama Mkwe, mawifi, mameneja mpk Wafanyakazi wa chini asipopata akili ndio basi Tena.
Sasa wanaelewaga kwani?? Wema nae si alichambwaga na wote? Ila wakishikwa mkono kidogo wanasahau yote. Sijui ni fame au ndo mahaba au njaa zao ndo maana wanajishusha hivyo sielewi kwa kweli
 
Lakini ndio hivyo bwana Dai will not claim Hamisa. He claims Zari, but he cannot even support Hamisa's business. This should be enough to tell you , what you are trying to justify by throwing mud at Zari is only a fantasy. If Dai respected Hamisa, he would not let her go through this, na asingesubiri Hamisa avujishe picha ndio akubali mtoto ni wake. Hivi how do you compare how Dai treats Zari and how he treats Hamisa? Dai ni mshenzi but at the same time Dai kama wanaume wengine, anataka mwanamke ambae anajua wanasaidiana na wanajengana. Just because Hamisa is young na ana body nzuri does not make her the ideal woman? Mbona Majizo hakukaa nae? HIvi mmeshajiuliza? Mwanaume hachukui mwanamke awe mwenza wake just because she has a great body and is young, there is so much more than just a sexy body. Some men love the brain too. Yes, a woman with a brain, who contributes either kwa mawazo au emotionally. And this is where I understand Dai and his family. Ukitaka kujua Dai anamwona Hamisa kama msuuza rungu, aliposema "bitch is dying for fame". He already knew Hamisa was after fame and fame only. Meanwhile, Zari loves fame BUT she uses fame to make money for both herself, their children and Dai himself. And this is why Dai will always go back to Zari until Zari decides she no longer wants him.
Huyo Hamisa, msaidieni kwa kumjenga kiakili na kimawazo. And guys, stop saying she is 23. How is she 23 now when last yr she said she had been with Dai for 9 yrs, embu piga hesabu, how old was she when she started sleeping with Dai?
Maelezo ya huko juu wala siyahitaji kibongo bongo hapa tuwe wakweli wangapi hawajatolewa bikra sekondari?!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]
 
Basi ya Kinje mwaya ile ya South na Diamond ndo analipa kodi pale. Kama akili ya kurudisha vitu vyake imemjia ni vyema akimaliza hayo aachane na kale ka **** boy Diamond ntaanza kumuheshimu tena na yeye
zari ana nyumba zake 2 mbali na iyo anayoishi sasa
na kwa taarifa yako iyo nyumba siyo ya kinje wala dai ni ya zari na alikuwa alinunua mwenyewe na kujifanya dai kamnunulia ili kuwarusha roho wa kama kina misa na nyumba ya madale zari alitoa dola laki moja ili ifanyiwe finishing na funture alinunua yeye south ,mademu wa bongo wa kaanza kushoboka kwa dai wakijua ana hela kumbe anahongwa na jimama
 
Hata Zari wala hapendwi basi tu Diamond anamuonea haya kwa kuwa baby mama number one na management yake inamtaka ila kama anajidanganya anapendwa atakua mjinga mwingine
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]unaniacha hoii ujue
 
Zari nae alibugi bwanaa hivi ndugu yangu we hapo umekutana na mtu Leo mwezi mmoja mimba kaaah!

Akili matope!Mtoto hajatembea mimba ya pili[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]yaani sie wanawake bwana!
Unadhani ilikua bahati mbaya ile?? Mbona mimba za yule baunsa wa Uganda alikua anazitoa. Alipiga mahesabu yake vizuri. Akaona kijana anashida ya watoto na yeye mayai anayo kwanini asiendelee zake kujilia child support kuliko kubanana na Getu kwa Katunzi
 
Kwa taarifa yako na huyo alienda kufanya matangazo ya break up mpaka BBC na kuonyeshwa bwana anakiss na Wema kwenye show bado akaonyeshwa video za kina Hamisa nae karudisha majeshi. Ila sisi kweli mwalimu wetu kipofu
Yaani wanawake sie hapana kaah!

Ila Zari ana plan yake bwanaa mi siamini kirahisi hv
 
My dear..hivi mnalikataa hili kwa kuwa ni Dai au? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mnanichekesha mnavyotumia nguvu..anyway.
Hapana sipo huko "" nadhani unajua taratibu ambazo watu huwa wanapitia mpaka kufikia hatua ya kuwa Mume na mke "" so hao unawapa sifa hiyo bado hawajaitekeleza .....labda utuambie kuwa sheria ambazo tunazijua zinazo halalisha ndoa zitakuwa zimebadilishwa au kuongezwa nyingine "".... zaidi ya zile ambazo tuna zijua...

NDOA YA KIDINI (CRISTIAN.MUSLIM .BUDHA. ETC)
NDOA YA KIMILA
NDOA YA BOMANI ".......... so sidhani kama victims walipitia taratibu moja wapo katika hizo ""....
 
Back
Top Bottom