Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Safari hii ataenda kulia CNN[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]eti msomi wa wapi labda?
[emoji3][emoji16][emoji16]sema anadanga kiakili mnoo!
Wengi tunatamani hata kama tunadanga tuwe kama yeye!
Napata mashaka hata ile child support ilikua kumvuta Diamond karibu baada ya kuwa anapewa pesa tu akataka na baba awe anaenda nyumbani ili amtege vizuri amzalie tena.Hahaaaaa halili matunzo analilia tamu ya Domo
Yule mtoto anajua kuigiza acheni kabisa.Naskia lulu ana akili mingi akiwa nyumbani ana act ka mama kumpikia majizo tofauti na misa yeye hata kupika tu ilikuwa issue.
Unadhani ukitengwa na jamii yote unadhani ndio una matatizo?saa nyingine wale wengi ndio wana matatizoIla Hii ya sasa hivii kiboko kichambo Kuanzia mama Mkwe, mawifi, mameneja mpk Wafanyakazi wa chini asipopata akili ndio basi Tena.
Kweli wewe mgeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ivan alimuoa Zari kwa ndoa kabisa fatilia huko ziko hadi picha mamaIvan alimuoa Zari wapi?
100% hapa tutajifanya kukataaqbut yote kwa yote wanawake wote wa humu na huko nje wanatamani sana ile nafasi ya zari na hamisa......ukweli mgumu huu
Bora angebakiki na tiffah ila kajifunza mana kiki zake zilimfanya Ivan akafa hafu na yeye akalipizwa kwa Diamond itakuwa ana machingu ingawa dai karudi kumuumiza tu HamisaStupidy decision ever na anajuta ila sema ndo vile tu vimemuongezea umaarufu hapa bongo ila alichokifanya ni upuuzi pia kwa mtu mzima kama yeye wala sio wa kufanya vile
Na ndio alichokuwa analilia haya Dai kamtumia sahivi kahamisha makazi na i promise you mama Dai atarudi tena kwa Missa atampokea na vijembe atarusha kama kawaida yake [emoji23][emoji23]Napata mashaka hata ile child support ilikua kumvuta Diamond karibu baada ya kuwa anapewa pesa tu akataka na baba awe anaenda nyumbani ili amtege vizuri amzalie tena.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tukianao nae alizaaa kumkomesha Wema ukweli ndo huo!na alizaa akijua Diamond atatulia [emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji2][emoji1]hapo ndo alibugi aiseehh!
Sasa kumbe pembe la ng'ombe halifichiki!
Alibugi mnoo kujibebesha mimba ndani ya mwezi mmoja akijua anakomoa Wabongo mbaya zaidi akabeba fasta fast a
Wanawake na siye tupunguze ujuha kumzalia mwanaume sio kigezo cha kupenda au kuolewa jamani
HaahahahahajSasa Hivi hali ngumu bongo movie hawatoi mimba Ovyoo waambulie child support Sio Kama Wa Zamani mtu Abeee mimba atadanga saa ngapi?? Siku Hizi madanga yametulia na familia Zao
Pia dai alikataa hajaoaMy dear..hivi mnalikataa hili kwa kuwa ni Dai au? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mnanichekesha mnavyotumia nguvu..anyway.
HahahaahahahHata mim nisingetoa mamiyake ila msingekaa mkanijua hata Shilawadu wangekuja ningekataa nikasema diamond cuzn yangu bora mahitaji napata akaaaa
Kawashinda Bongo movie mapito aliyopitia yalimfunza mengi yule mtoto mdogo ila ana mshinda zari sijawahi ona akizalilishwa ki mapenzi ka kina Zari kwanza mahusiano yake huwa kimya kimyaYule mtoto anajua kuigiza acheni kabisa.
Dola laki moja??weee cadey weweeeezari ana nyumba zake 2 mbali na iyo anayoishi sasa
na kwa taarifa yako iyo nyumba siyo ya kinje wala dai ni ya zari na alikuwa alinunua mwenyewe na kujifanya dai kamnunulia ili kuwarusha roho wa kama kina misa na nyumba ya madale zari alitoa dola laki moja ili ifanyiwe finishing na funture alinunua yeye south ,mademu wa bongo wa kaanza kushoboka kwa dai wakijua ana hela kumbe anahongwa na jimama
Huu ukweli mchungu watoto wa Diamond wote sio wake katk uislam na Diamond hana mtoto hata mmoja pale!Hahahhahaa Mkuu Tukija Kwenye imani hasa hao watoto Wa mondy Wote ni wazinaa.
Hao watoto Wa Hamisa Wote ni Wa zinaa
Esma na Diamond alkadhalika ni watoto Wa zinaa Kwa mama yao
Sheria ya watoto Wa zinaa hawanaga urithi kwa baba yao na baba haruusiwi kurithi Mali ya mtoto Naelewa.
Lakini tukifunua upande Wa shilingi hususani Wa sheria za nchi Zari anatambulika Kama mwanamke Wa Diamond.
Kilichopaswa Diamond angemuoa Hamisa kisheria huwa wanasema Hakuna laana ya mwanamke unayezini naye imfikie mkeo WA halali hapa Hamisa angecheza. Lakini matokeo yake naye kafanywa Wa kusafisha rungu ndio maana yamemkuta
Kumbe nae toka zamani mwizi wa waume za watu tena wenye ndoa zao ,ila wanaona ya hamisa tuUnadhani ilikua bahati mbaya ile?? Mbona mimba za yule baunsa wa Uganda alikua anazitoa. Alipiga mahesabu yake vizuri. Akaona kijana anashida ya watoto na yeye mayai anayo kwanini asiendelee zake kujilia child support kuliko kubanana na Getu kwa Katunzi
Ila shilling ina pande mbiliWatasemaje na wao wanajua mazuri tuu
Na kupiga picha majagi na masofaKuzaaa na Ivan na Diamond[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23]