Mama Mobetto amuombea msamaha mwanaye kwa wote wanaomtukana

Unaona sasa eti butiful with brain nakazia my ass
 
Kweli wewe mgeni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ivan alimuoa Zari kwa ndoa kabisa fatilia huko ziko hadi picha mama
Sio kweli alitoa mahari bwana[emoji3][emoji16][emoji16]tusidanganyane hapa!
Ila nakumbuka alibadilisha dini akawa mlokole ili aolewe ndoa haikutokea [emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji11]shoga hapana
 
Na ndio alichokuwa analilia haya Dai kamtumia sahivi kahamisha makazi na i promise you mama Dai atarudi tena kwa Missa atampokea na vijembe atarusha kama kawaida yake [emoji23][emoji23]
Mbona Zari kampokea hamsemi au yeye ana haki zaidi ya kuliwa na mondi?

Hamisa na Dai wote wapuuzi bwana wee
 
Ila Zari asingerudiana na Diamond Kwa kipindi hiki ni Muda mfupi Sana toka Waachane miezi minne tu ,amejitangaza mpk BBC.
Hivi nyie siri anaijua daimond mle ndani jamani k imesoma kilometer sana ile ,hivi matajiri wa south wote hamwamuoni zari [emoji23][emoji23][emoji23] au ndio anajulikana Tz na Kenya na kwa ug
 
Kama hao wazee wanakula na kuseoa afanyeje
 
Kumbe nae toka zamani mwizi wa waume za watu tena wenye ndoa zao ,ila wanaona ya hamisa tu

Kumbe zari kuzaa na mondi aliona kabahatisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena alikua anakula waume za watu huku yeye ni mke wa kimila wa Ivan. Kwani unadhani Diamond alimpata kwenye ndege wakati anakuja bongo kusign business deal au?? Alikua anakuja kwa sponsor wake bongo. Yule Paul sijui Peter wa P square walikua na mahaba motooo akajua ataachana na Ivan aolewe yeye akaolewa mwenzie. Kuna yule mganda anamchambaga Zari anasemaga kule chini kwa Zari watu wanaweza kufanya UN summit maana mataifa yote yameshapita hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…