[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ha ha huko ig tunamtukana kama kawa niiamka na stress za shemela wenu hnaenda kumchambaaaaaa mpaka nasuuzika
Dada yangu samahani mi mgeni kidogo mtaa huu, hivi tofauti ya Hamisa na Zari ni kitu gani? Naona kama lawama zinamwendea mtu mmoja tu.
Hivi mondi alishafunga ndoa na Zari! Nimeuliza kwa wema tu
ha ha ha kwa hiyo anajiona mwanamke na nusu kutafunwa na huyu kibolo dinda kwi kwi kwiiiiiiiAll in all, Hamisa too alijua what she was doing. Familia ya Dai tunaijua sana na wao sio wasafi ila tunachosema hapa Hamisa does not deserve any sympathy. She made her bed, she should lie in it. Babu Tale alimuonya kabla haja beba mimba, na akamuonya Dai pia, but we all know, wanaume wakitaka kusuuza rungu hawajalii ndio maana mwanamke lazima uwe smart bana maana mwisho mzigo humuelemea mwanamke. Hamisa should have known better.
Yeye Hamisa si ndio alisema kwamba watu wanamuonea wivu kwa vile amezaa na wanaume wenye pesa? Ndio ujue akili za huyu msichana sasa.
Amnaaa " hahaa lowlife wenzangu hao " hawawezi nifanya kitu ......"" angekuwa na hela asingeutafuta umaarufu kwa kutanua miguu"".... angetumia hela zake " kwa kununua kick kwa shigongo na page za udaku "" angeupata umaatufu faster ..."......tofauti na hivi anavyonyanyasika now "....domo kamsukumia zigo la kinyesi " halafu anajifanya yeye kama hausiki vile
Asante mkuuSky Eclat
Tunapenda kompetisheniHumu ndani ndio nimejua akili za wanawake duniani zikoje.nimesoma post zote nikagundua mwanamke uliemtongoza akazingua mwisho wa siku ukipata dem ataanza kujisogeza na yeye!ahaaa nishawajua wanawake
mi nawaza kumtom.ba tu huu ujinga waza mwenyeweMwambie hamisa safari hii asijaribu kufanya upumbavu wake anaoufanyaga kwa kuwa atadhalilika.
Mama ana busara huyu...
Anitafute mzee mwenzie mimi babu yenu nimchomekee mtoto mwingine tumboni mwake...
ha ha huko ig tunamtukana kama kawa nikiamka na stress za shemela wenu naenda kumchambaaaaaa mpaka nasuuzikaπππππ