Mwalimu akifufuka leo akazisikia habari hizi.....Huyu mama alikuwa ni mmoja wa watu walooaminiwa sana na Mwalimu.
Hapa hakuna cha kilichomsibu... NI MWIZI period!!!!
Ila ni aibu kubwa sana kwa Tanzania jamani kama hayo yaliyosemwa ni ukweli.
Hakuna cha aibu kwa Tanzania bali ni aibu yake mwenyewe. Besides huyu kaiba huko siyo nchini na kama ni upendeleo wa ajira sijafahamu aliwapendelea wa wabongo ama vipi. Kama ni watanzania basi kudos to her. Hili la aibu siliamini maana kama ni aibu ingekuwa kwa Ghana kwa yale aliyofanya mtoto wa Kofi Annan tena UN nini AU lakini wapi Ghana wanapeta tu.
Hatuna kabisa umakini wa kutathmini sifa za viongozi. Anaeshangaa kuanguka kwa Mongella, hebu nitajie ulivyokuwa unamjua wewe Mongella, alikuwa na sifa gani zamani? Aliwahi kufanya nini Mama Mongella?
Duu!! ufisadi wa kitanzania umevuka mipaka ya nchi?!! Angalau wabunge wa Bunge la Afrika wamesema enough is enough. No to Mongella. Let it be our motto - NO TO ALL FISADIS