Mwalimu akifufuka leo akazisikia habari hizi.....Huyu mama alikuwa ni mmoja wa watu walooaminiwa sana na Mwalimu.
Mwalimu angekuwa hai , mama huyu ndio lilikuwa chaguo lake kuwa Rais kipindi cha pili cha BWM [2000-20005]!!! Sijui angetuletea aibu gani Yarabi!! It seems Mwalimu was cheated many times by personal appearances!