hillongajonas
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 201
- 441
Daah! Sisi wengine izo bahati twazisubiria kwa hamu mkuu changamkia fursa ila kuwa makini kuchunguza asije kuwa mke wa mtu.Wakuuu kuna jimama nimekutana nalo juzi kwenye daladala tulikuwa tumekaa siti moja ni jeupe yani pisi Kali sana Mimi uwa na tabia ya kupendeza kula pamba na kunukia viZuri ndio tabia yangu so jimama limepagawa likaniomba namba Mimi nikampa lilisema tuwe marafiki
Stoka jana linanisumbua limeniambia linanipenda linafanya kazi TRA sasa linaniambia niwe nae kimapenzi njtaenjoy hapa ninapoandika limenitumia hela shs elfu 50 limeniambia nitumie tu wikiendi hii ila limesema j3 nikutane nae,
Wakuu nifanyaje?
hahahhhNa Bado sekondari nao wanafunga ijumaa tutaona mengi Sana had mwez wa kumi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kazi TRA umekutana kweny daladala labda mfanya usafi
Ndio [emoji41]Amekuwa mwenzangu tena?[emoji3]
Nunua vumbi la Kongo uende ukalipe show Kali Hilo lishangaziWakuuu kuna jimama nimekutana nalo juzi kwenye daladala tulikuwa tumekaa siti moja ni jeupe yani pisi Kali sana Mimi uwa na tabia ya kupendeza kula pamba na kunukia viZuri ndio tabia yangu so jimama limepagawa likaniomba namba Mimi nikampa lilisema tuwe marafiki
Stoka jana linanisumbua limeniambia linanipenda linafanya kazi TRA sasa linaniambia niwe nae kimapenzi njtaenjoy hapa ninapoandika limenitumia hela shs elfu 50 limeniambia nitumie tu wikiendi hii ila limesema j3 nikutane nae,
Wakuu nifanyaje?
34+ jimama?
Hv kumbe vyuo vimefungwa.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Awap! Chuo hakinaga scholars wazembe kiasi hiki! Huyu alimaliza four mwaka jana. Mwaka huu anajoin college ya unesi!
[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaaaahUnaweza kuta hilo jimama ni mama,shangazi,mama mdogo au hata ndugu wa member wa hapa jamiiforum na yeye kwa bila kujua kachangia umugegede/uligegede hilo jimama[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahKazi TRA umekutana kweny daladala labda mfanya usafi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaa, huyu kijana ana umri gan?? 16?34+ Mdogo Sana huyo..embu acha kulialia nawewe
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]25[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaa, huyu kijana ana umri gan?? 16?
Yawezekana ni linene kupindukia ndio maana likakosa wa kulikuna huko TRA sasa dogo anaona ni bahati ya mtende.Ganda la mua la jana chungu kaona mavuno34+ jimama?