Mama mtu mzima ananitaka kimapenzi, ana miaka 34+

Mama mtu mzima ananitaka kimapenzi, ana miaka 34+

Dah TRA hana gari anaingia daladala 50k sio hela huyo kakuonga na hela ya mtaji wa nyanya
Usikariri maisha. Anapanda daladala kwa ajili ya kuwinda. Mfano kwa sisi wanaume ukiwa na gari utakula sana wanawake wasio na magari. Ila kwa sababu za mazoea ambayo yamekuwa utamaduni sasa, mwanaume mwenye gari anaweza akamuita mwanamke yoyote anayetembea kwa miguu na kumpa ofa ya lifti. Mwanamke huyo ni nadra kukataa. Kwa hiyo ataingia kwenye gari na hapo ndo atakuwa ameshaingia mtegoni.

Ila mwanamke mwenye gari hawezi kuwinda kwa staili hiyo. Duniani kote bado hakuna mazoea au utamaduni wa mwanamke mwenye gari kumuita mwanaume anayetembea kwa miguu na kumpa lifti halafu ndo amtongoze. Mwanamke wa aina hiyo ataonekana kituko na kuzua gumzo kwenye jamii.

Kwa hiyo huyo "jimama" kajiongeza. Anajua wanaopanda daladala wote ni maskini tu, kwa hiyo ni eneo zuri la kuwinda vijana wasiomjua lakini wenye shida za hela.
 
Usikariri maisha. Anapanda daladala kwa ajili ya kuwinda. Mfano kwa sisi wanaume ukiwa na gari utakula sana wanawake wasio na magari. Ila kwa sababu za mazoea ambayo yamekuwa utamaduni sasa, mwanaume mwenye gari anaweza akamuita mwanamke yoyote anayetembea kwa miguu na kumpa ofa ya lifti. Mwanamke huyo ni nadra kukataa. Kwa hiyo ataingia kwenye gari na hapo ndo atakuwa ameshaingia mtegoni.

Ila mwanamke mwenye gari hawezi kuwinda kwa staili hiyo. Duniani kote bado hakuna mazoea au utamaduni wa mwanamke mwenye gari kumuita mwanaume anayetembea kwa miguu na kumpa lifti halafu ndo amtongoze. Mwanamke wa aina hiyo ataonekana kituko na kuzua gumzo kwenye jamii.

Kwa hiyo huyo "jimama" kajiongeza. Anajua wanaopanda daladala wote ni maskini tu, kwa hiyo ni eneo zuri la kuwinda vijana wasiomjua lakini wenye shida za hela.
Hakunaga huo ni ushamba na uongo ila ngoja tufanye utafiti
 
Back
Top Bottom