azyzy omary
JF-Expert Member
- Dec 8, 2020
- 863
- 1,293
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] daaahNa Bado sekondari nao wanafunga ijumaa tutaona mengi Sana had mwez wa kumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] daaahNa Bado sekondari nao wanafunga ijumaa tutaona mengi Sana had mwez wa kumi
[emoji23][emoji23]nyota imeweka
Shikamoo bibi[emoji16][emoji16][emoji16]Yaani kanisikitisha sana , ina maana mimi ni bibi? Ashindwe na alegee
Marahaba mjukuu wanguShikamoo bibi[emoji16][emoji16][emoji16]
Babu yuko waaaaaap?[emoji16][emoji16]Marahaba mjukuu wangu
Inategemeana na body structure yakeKwamba mdada mwenye 34yrs ni jimama, utakuwa na umri gani dogo?
Yupo hapa pembeni😃Babu yuko waaaaaap?[emoji16][emoji16]
Hilo swali la kuuliza kweli?Wakuuu kuna jimama nimekutana nalo juzi kwenye daladala tulikuwa tumekaa siti moja ni jeupe yani pisi Kali sana. Mimi huwa na tabia ya kupendeza kula pamba na kunukia vizuri ndio tabia yangu so jimama limepagawa likaniomba namba Mimi nikampa lilisema tuwe marafiki
Toka jana linanisumbua limeniambia linanipenda linafanya kazi TRA sasa linaniambia niwe nae kimapenzi njtaenjoy hapa ninapoandika limenitumia hela shs elfu 50 limeniambia nitumie tu wikiendi hii ila limesema j3 nikutane nae.
Wakuu nifanyaje?
Bhac rudisha huo muamala kwa muhusikaHapa nilipo hela bado sijaitoa kwenye simu
Sasa unakataa nini?Wakuuu kuna jimama nimekutana nalo juzi kwenye daladala tulikuwa tumekaa siti moja ni jeupe yani pisi Kali sana. Mimi huwa na tabia ya kupendeza kula pamba na kunukia vizuri ndio tabia yangu so jimama limepagawa likaniomba namba Mimi nikampa lilisema tuwe marafiki
Toka jana linanisumbua limeniambia linanipenda linafanya kazi TRA sasa linaniambia niwe nae kimapenzi njtaenjoy hapa ninapoandika limenitumia hela shs elfu 50 limeniambia nitumie tu wikiendi hii ila limesema j3 nikutane nae.
Wakuu nifanyaje?
Ni vyuo mkuu😁Kwani shule zimeshafungwa? Kumechafuka sana humu ndani.
[emoji848]so 34+no jimama ?Wakuuu kuna jimama nimekutana nalo juzi kwenye daladala tulikuwa tumekaa siti moja ni jeupe yani pisi Kali sana. Mimi huwa na tabia ya kupendeza kula pamba na kunukia vizuri ndio tabia yangu so jimama limepagawa likaniomba namba Mimi nikampa lilisema tuwe marafiki
Toka jana linanisumbua limeniambia linanipenda linafanya kazi TRA sasa linaniambia niwe nae kimapenzi njtaenjoy hapa ninapoandika limenitumia hela shs elfu 50 limeniambia nitumie tu wikiendi hii ila limesema j3 nikutane nae.
Wakuu nifanyaje?
34+yrs hawezi kua Jimama, Inaonesha wewe ni charii sana!Wakuuu kuna jimama nimekutana nalo juzi kwenye daladala tulikuwa tumekaa siti moja ni jeupe yani pisi Kali sana. Mimi huwa na tabia ya kupendeza kula pamba na kunukia vizuri ndio tabia yangu so jimama limepagawa likaniomba namba Mimi nikampa lilisema tuwe marafiki
Toka jana linanisumbua limeniambia linanipenda linafanya kazi TRA sasa linaniambia niwe nae kimapenzi njtaenjoy hapa ninapoandika limenitumia hela shs elfu 50 limeniambia nitumie tu wikiendi hii ila limesema j3 nikutane nae.
Wakuu nifanyaje?
Unawajua wa mama watu wazima kweli? 34?Wakuuu kuna jimama nimekutana nalo juzi kwenye daladala tulikuwa tumekaa siti moja ni jeupe yani pisi Kali sana. Mimi huwa na tabia ya kupendeza kula pamba na kunukia vizuri ndio tabia yangu so jimama limepagawa likaniomba namba Mimi nikampa lilisema tuwe marafiki
Toka jana linanisumbua limeniambia linanipenda linafanya kazi TRA sasa linaniambia niwe nae kimapenzi njtaenjoy hapa ninapoandika limenitumia hela shs elfu 50 limeniambia nitumie tu wikiendi hii ila limesema j3 nikutane nae.
Wakuu nifanyaje?
Mwenyew nimeshangaaa....[emoji38][emoji38][emoji38] kijana kanipa mawazo sanaaa...34+ jimama?
Babu gani ?Hivi mbona sisi wababu wanatutaka ila hatujawai kuleta thread
Grow up bhana 😏
Tulia mkuuBabu gani ?
Babu kachoka hao 😂😆