sion mahali ambapo wewe umeshirikishwa hili jambo na umeombwa kusaidia na hii familia mbali na kuelezwa na huyo binti wa kwenye hiyo nyumba....kingine baba amekataa mtu yeyote ampe ushauri na ndio maana ametumia neno ''padre''......endelea na kazi zako (mwagilia mboga mboga,lisha kuku au ng'ombe kama zipo la hazipo kaa ufume vitambaa vyako) hili halikuhusu..kwani huyo aliyekweleza amesema wameachana hao wanandoa? ....baba kamlaani kijana huku mama aliyeuza mali akiwa hajaambiwa lolote(kwa mujibu wa thread).....maneno aliyoyatoa mtoto kwa baba yake ni nauli (malezi) waliyokuwa wakimpa wazazi wake..na hayo ndio malipo...
halafu kingine...mama aliuza nyumba na kiwanja baba akiwa nje ya nchi masomoni na taarifa za kuwa nyumba imeuzwa alizipata wiki moja kabla ....umeendelea kusema pia kuwa baba alimlaani mtoto wake kwa kumuonyesha utupu wake!!! sasa hapa alikuwa kesharudi toka huko nje ya nch huyu baba ??!!...hii habari bado ina inaacha maswali mengi!! maana kuanzia heading yake haiko sawa..