''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

Umeonae? tatizo wanabisha hawa viumbe. Afu kijana umewiva kwenye kusoma katikati ya mistari. Chagua mjukuu mmoja nikupe mafunzo ya kukagua....For free.

Nichagulie basi nisije changua mama zangu humu
 
Namaanisha ile infii uliyoondoka nayo jana ulikumbuka kuirudisha nyumbani...?
Babu aint infidelaiz no body....babu is their for them matitiz only....to check their factor of safety for the safe utilisation of the users......babu clear?......users? Year, them ISC boys....Say Amen lil angel, an babu will be proud of you girl............
 

...Teamo, kwema huko?

Shem na kabinti wanaendeleaje.
Hivi Pampers au nepi zinauzwaje siku hizi?
Halafu vichanga vya siku hizi vinakula balaa, unanunua maziwa gani ya kopo? bei?
maana naskia Lactogen na S-26 zilishapigwa marufuku. Anyway,...

Kumradhi wajemeni kwa kwenda nje ya topic,...namjulia hali tu huyu jamaa yangu hapa.
 

Haven't got you...
 
Kuna machinga mmoja amepita hapa anauza tshirt zimeandika "mpango mzima" ilikuwa imebakia moja jamaa amewahi kuinunua sasa sijui ni memba wa jf huyu?
 
Smile umemsikia babu.......tuheshimu wazee au sio
Kama hajakusikia nambie nimnyang'anye mkaguzi wa matege the Finest yule afrodenzi niliyemkabidhi amkague viwiko.
 
Kama hajakusikia nambie nimnyang'anye mkaguzi wa matege the Finest yule afrodenzi niliyemkabidhi amkague viwiko.
Dah! Babu unaingia kwenye sekta za watu tutakuvunja mkongojo wako
 
Tena liwe jimama lililo olewa...Finest, Smiles,winlady, nisaidieni! Nataka niwe kama NICK CANNON na MARIAH CAREY,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…