Umeonae? tatizo wanabisha hawa viumbe. Afu kijana umewiva kwenye kusoma katikati ya mistari. Chagua mjukuu mmoja nikupe mafunzo ya kukagua....For free.
Babu aint infidelaiz no body....babu is their for them matitiz only....to check their factor of safety for the safe utilisation of the users......babu clear?......users? Year, them ISC boys....Say Amen lil angel, an babu will be proud of you girl............Namaanisha ile infii uliyoondoka nayo jana ulikumbuka kuirudisha nyumbani...?
Toa wasifu, babu atakuzawadia kitu murua:teeth::teeth:Nichagulie basi nisije changua mama zangu humu
WAKUU,
HABARINI ZA MAJILIO?
naomba mawazo yenu katika muendelezo ule ule wa ''kuelezana ukweli unaohuzunisha''.....
ASSUMING KWAMBA SITUATION IMETOKEA HIVYO na baba mwenye nyumba ameamua kuwa na ''mpango wa kando'' kwa sababu zozote zile,mi nataka tupeane mawazo kwamba hivi ni nani anaeinjoi mapenzi zaidi ya mwenzake kati ya:
1)-MAMA MWENYE NYUMBA
-ambaye ndo mke wako wa ndoa
-ambaye ndo yuko responsible bega kwa bega na wewe katika kuikuza familia
-ambaye anavumilia kwa hali yoyote ile muda wowote ule utakao amua kurudi
-ambaye muda wote wa usiku wa giza anakuwa na mawazo kibao kwamba ''mume wangu amepatwa na nini''
-ni mke wako ''enewei'' na she is entitled to whatever is brought for the family
-ambaye utakata roho ukiwa mikononi mwake
2)-MPANGO WA NJE.
-she is entitled to kampani,route na vikao vyote vya pombe/movie etc
-anapewa nafasi ya kuagiza chochote anachotaka mkiwa baa
-anapewa nafasi ya kupelekwa shoping na kujiagizia chochote
-anakuwa na uhakika wa credits,means za tranzport (hata kumrash home kila siku sio ishu)
-anapewa nafasi adimu ya kuchat na wewe 24/7
-anapewa nafasi ya kudeka anavyotaka
-anapewa nafasi ya kunisindikiza arusha kuungana na pakajimi na kampani kubwa ya jf ya ARACHUGA
TUSAIDIANE HAPO MAWAZO,who is enjoying!
....and why?
Babu aint infidelaiz no body....babu is their for them matitiz only....to check their factor of safety for the safe utilisation of the users......babu clear?......users? Year, them ISC boys....Say Amen lil angel, an babu will be proud of you girl............
Toa wasifu, babu atakuzawadia kitu murua:teeth::teeth:
Should I say you are welcome?Haven't got you...
Kamata Smiles....fasta kabla haja log out.........awe anapinga sana mambo ya mpango mzima
Kamata Smiles....fasta kabla haja log out.........
Kama hajakusikia nambie nimnyang'anye mkaguzi wa matege the Finest yule afrodenzi niliyemkabidhi amkague viwiko.Smile umemsikia babu.......tuheshimu wazee au sio
Hivi GY Smiles ni MPANGO WA MJE au ni MPANGO MZIMASmile umemsikia babu.......tuheshimu wazee au sio
Dah! Babu unaingia kwenye sekta za watu tutakuvunja mkongojo wakoKama hajakusikia nambie nimnyang'anye mkaguzi wa matege the Finest yule afrodenzi niliyemkabidhi amkague viwiko.
Ukipata mashine ya ukaguzi naomba uje nayoToa wasifu, babu atakuzawadia kitu murua:teeth::teeth:
Smile umemsikia babu.......tuheshimu wazee au sio
Hivi GY Smiles ni MPANGO WA MJE au ni MPANGO MZIMA