LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
We acha tu wao ndo wakula matunda tunayopalilia sie wa kulinda miji na watoto wasiporomoke ili akinywa bia ishuke bila mawaa kazi tunayo
Mother house palilia matunda mamaa ""my infii leo si tunatoka eeh"",
Mwambie akuandalie ile suruali ya..... na shati la.... na viatu vile.... nakadhalika.
(Daa umependeza my infii, na amejitahidi kunyoosha vizuri kwa kweli, twende zetu my infii)
Jamani tafadhali.