mludego
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,597
- 3,565
Hivi kukisikiliza hiko kipindi, ukiwa unasikiliza mnakilipia unaposema radio itafilisika?Wamebugiii meeeen E fm itakufa soon asbh nlikua nlikua sikozi kusikiliza mauchambuzi ya Maulid na Musa na Hando plus Bigmama. Kwa sasa sitaki hata kuisikia tena