BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Atakua analipwa ngapi kwa mwezi ?
20 m inaweza fika ?!
20 m inaweza fika ?!
Leo Kitenge kawa dhahabu. Huyu huyu aliyekandiwa eti hamfikii Muyenji wa Gamba (RIP) as if kwenda nje ndiyo kila kitu.
Maulid ni talented na innovative sana. Kama Wasafi wamevunja bank kuwa naye, hawatajutia uamuzi wao.
Junatatu nitakuwa nao much as I hate Mond.