Hivi kukisikiliza hiko kipindi, ukiwa unasikiliza mnakilipia unaposema radio itafilisika?Wamebugiii meeeen E fm itakufa soon asbh nlikua nlikua sikozi kusikiliza mauchambuzi ya Maulid na Musa na Hando plus Bigmama. Kwa sasa sitaki hata kuisikia tena
Kwahiyo yale manjonjo ya habari za michezo ndio atatoa lulu sio?
Transaction haimuathiri KusagaSafi sana kusaga kwa kumchukua Maulid Kitenge.
Yeye ni mwanahisa tu FCC haiwezi kumbana ni kama wewe uamue kununua hisa DANGOTE na TWIGA Cement.Transaction haimuathiri Kusaga
Yupo kote Efm na Wasafi
Ila nadhan fair competition ilibid waingilie haya mambo, it's not fair kwa Kusaga kuruhusiwa kufanya haya
Siku zote biashara ukitaka ife, basi weka undugu. Katika biashara ukitaka iendelee kusimama, wrka watu baki ambao wataogopa kufanya hujuma yoyote kwa ajili ya kulinda kazi yao. Naitabiria Efm kifo baada ya muda fulani. Hii ni kwa sababu, atakachotaka Elizabeth kipite hata kama ni cha kijinga kisicho na maslahi ndicho kitapita. Isitoshe huyu ni msanii, sasa mafunzo ya utanfazaji amepata lini?
🙄We ndo unaona Hapo tu ni mtazamo wako lakiniInatusua kwenye singeli sio[emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti niweke pumbu chini namsikiliza Lulu anidadavulia habari za michezo na mambo mengine.
Mimi!
Mbona una ning'iniza hizo pumbu sofani kwa shemeji yako?Eti niweke pumbu chini namsikiliza Lulu anidadavulia habari za michezo na mambo mengine.
Mimi!
Subir arudi, utakomaMbona una ning'iniza hizo pumbu sofani kwa shemeji yako?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Subir arudi, utakoma
Eti niweke pumbu chini namsikiliza Lulu anidadavulia habari za michezo na mambo mengine.
Mimi!
kabisaaaaa uweke kijambio chini umskilize lulu???CCM SIJUI WANATUPELEKA WAPI 🥴 🥴 🥴Eti niweke pumbu chini namsikiliza Lulu anidadavulia habari za michezo na mambo mengine.
Mimi!
Kweli kabisa, hata kabla ya kitenge alikuwepo mkongwe PJ ambaye watu walimzoea. Lakini alipoondoka nafasi ikachukuliwa na Kitenge na watu wakamzoea pia.Biashara haiwezi kufa kwa kumuweka ndugu bali inakufa kwa kutofata misingi ya biashara !
Lulu ni mtangazaji mzuri ana fundishika vizuri na anao uwezo mzuri tuu anafundishika vizuri tuu!
Swala la watu kukataa mabadiliko ni swala la kawaida kabisa... maana wamemzoea Kitenge hivyo bado yuko kichwani mwao ni muda tuuu!
Lulu anao uwezo mzuri tuu watamkubali baadaye....