Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,278
- 797
AHSANTE RAIS SAMIA
Huyu ni Hadija Shaban Omar, mama mwenye watoto mapacha walioungana kifua, tumbo na nyonga wenye umri wa miaka Mitatu anapenda kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumgharamia kipindi cha miaka mwaka mmoja wallivyokuwa wanapata matibabu ambapo baadaye kuweza kusimamia safari yake ya kwenda hospital King Abdulaziz Medical City iliyopo Saudi Arabia.
Mama wa mapacha (Hassan na Hussein) amemuomba Mhe. Rais pindi watakaporejea nchini Tanzania aweze kumtembelea kuwaona watoto hao ambao hivi sasa wanatumia Mguu mmoja mmoja.
Hadija Shaban Omar hakusita kutoa shukrani kwa Hospital ya Taifa ya Muhimbili kwa kuwa naye kipindi chote cha Matibabu tangu wanatoka Tabora.
#samiaapp
#kaziiendelee
#tumejipatanamama
Huyu ni Hadija Shaban Omar, mama mwenye watoto mapacha walioungana kifua, tumbo na nyonga wenye umri wa miaka Mitatu anapenda kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumgharamia kipindi cha miaka mwaka mmoja wallivyokuwa wanapata matibabu ambapo baadaye kuweza kusimamia safari yake ya kwenda hospital King Abdulaziz Medical City iliyopo Saudi Arabia.
Mama wa mapacha (Hassan na Hussein) amemuomba Mhe. Rais pindi watakaporejea nchini Tanzania aweze kumtembelea kuwaona watoto hao ambao hivi sasa wanatumia Mguu mmoja mmoja.
Hadija Shaban Omar hakusita kutoa shukrani kwa Hospital ya Taifa ya Muhimbili kwa kuwa naye kipindi chote cha Matibabu tangu wanatoka Tabora.
#samiaapp
#kaziiendelee
#tumejipatanamama