Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
You are right madamToo much ndio nini Grahams!?
Tusikufuru
Angalia threads za Tanzia humu, ndiyo kwanza January vipi tukifikia December?
But mapenzi yake yatimie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are right madamToo much ndio nini Grahams!?
Tusikufuru
Kwa nchi isiyo / isiyoweka / isiyotumia data utajuaje?Too much ndio nini Grahams!?
Au kufa kwa huyu mama wa Jerry ndio too much?
Kwani January ya mwaka 2020 na mwaka 2019 walikufa watu wangapi hadi hii january ya 2021iwe ni too much?
Tusikufuru
Kwani unadhani kuna mtu anapenda kufa, au ndugu zake, jirani zake, marafiki zake au wananchi wafe?It's all about developed pneumonia,when comes and knocks in your door you'll figure it out
Watu wanakufa kila siku tangu kuumbwa kwa dunia, ila wakifa watu maarufu ndio tunashtuanaYou are right madam
Angalia threads za Tanzia humu, ndiyo kwanza January vipi tukifikia December??
But mapenzi yake yatimie
Nadhani sintofahamu ya Covid19 imepelekea yote haya. Kila Tanzia wameamua kuileta humuWatu wanakufa kila siku tangu kuumbwa kwa dunia, ila wakifa watu maarufu ndio tunashtuana
Umesahau mwaka jana majira kama haya?Kwani wametoa taarifa ya ugonjwa uliompeleka mama'etu?
RIP Bi mkubwa, pole DC Jerry.
Kwani unadhani kuna mtu anapenda kufa, au ndugu zake, jirani zake, marafiki zake au wananchi wafe?
Kama unaelewa ndivyo ilivyo basi
Usiuhusie tahadhari kwa kundi dogo la watu humu JamiiForums toka kwenye public waambie kua covid ipo na watu wanatakiwa uchukue tahadhari na anaekufa kwa covid mseme Kua amekufa kwa covid na sio kutuambia severe pneumonia HUO NI USHAMBA.Kwani unadhani kuna mtu anapenda kufa, au ndugu zake, jirani zake, marafiki zake au wananchi wafe?
Kama unaelewa ndivyo ilivyo basi chukua tahadhari