Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Naona mmeamua kupageuza JF kuwa mtaaa wa Tanzia. Sawa tu, ila mkae mkijua uchaguzi umeisha. Sisi tunaendelea kuchapa kazi ili kulijenga taifa zuri la Tanzania [emoji1241] chini ya kiongozi madhubuti John Magufuli eikeiei Bulldozer.