Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
It's all about developed pneumonia,when comes and knocks in your door you'll figure it out
Nadhani sintofahamu ya Covid19 imepelekea yote haya. Kila Tanzia wameamua kuileta humu
Kwani unadhani kuna mtu anapenda kufa, au ndugu zake, jirani zake, marafiki zake au wananchi wafe?
Kama unaelewa ndivyo ilivyo basi chukua tahadhari
Naona mmeamua kupageuza JF kuwa mtaaa wa Tanzia. Sawa tu, ila mkae mkijua uchaguzi umeisha. Sisi tunaendelea kuchapa kazi ili kulijenga taifa zuri la Tanzania [emoji1241] chini ya kiongozi madhubuti John Magufuli eikeiei Bulldozer.
Huyo jirani yako amefariki kwa ugonjwa gani!?Vifo vimekuwa vingi hapa tu jirani mama mmoja amefariki usiku huu.
Pole Jerry
Huwezi ficha kifoNaona mmeamua kupageuza JF kuwa mtaaa wa Tanzia. Sawa tu, ila mkae mkijua uchaguzi umeisha. Sisi tunaendelea kuchapa kazi ili kulijenga taifa zuri la Tanzania [emoji1241] chini ya kiongozi madhubuti John Magufuli eikeiei Bulldozer.
Suala siyo kuficha kifo, bali kuhusisha visivyo kila version ya kifo -- hata ajali za waendesha bodaboda -- kuwa zimechanzuka kwenye korona. Nonsense!Huwezi ficha kifo
OP & PRWashaurini wafiwa wasitangaze misiba. Kwa maana mnakereka sana siyo na vifo bali tanzia.
Wachawi wakubwa nyie.
Huyo Mama alikua bodaboda?Suala siyo kuficha kifo, bali kuhusisha visivyo kila version ya kifo -- hata ajali za waendesha bodaboda -- kuwa zimechanzuka kwenye korona. Nonsense!
Hapo sasa. I hope you got my point. Pls grow up even 4 4 minutes jamani.Huyo Mama alikua bodaboda?
acha ujinga, kila siku kila mwaka kila karne watu wanakufa hapo Muhimbili, Mwananyamala , Amana na kwengineko, hakuna cha January wala DecemberYou are right madam
Angalia threads za Tanzia humu, ndiyo kwanza January vipi tukifikia December?
But mapenzi yake yatimie
Sio kweli waliokaribu na hospital waulize watakupa habari yake au wauza majeneza watakwambia kipato kilivyoongezeka january hii.Watu wanakufa kila siku tangu kuumbwa kwa dunia, ila wakifa watu maarufu ndio tunashtuana
What is wrong with you guy??acha ujinga, kila siku kila mwaka kila karne watu wanakufa hapo Muhimbili, Mwananyamala , Amana na kwengineko, hakuna cha January wala December
au kwakua izi Tanzia zinaletwa uku JF ?
na ujinga kuleta kila Tanzia jukwaani
man up idiot