TANZIA Mama Mzazi wa MC Pilipili afariki Dunia kwa ajali

TANZIA Mama Mzazi wa MC Pilipili afariki Dunia kwa ajali

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Mwendazake huyo akienda hudhuria harusi ya mtoto wake na kupatwa na ajali hiyo mbaya usiku wa kuamkia Desemba 20,2020 maeneo ya Afrikana Jijini Dar es Salaam.

Bwana Harusi aendaye kwa jina la Tom ni nduguye na MC Pilipili na Mamayao aliwasili Jijini Dar es salaam akitoke Dodoma ili kuhudhuria sherehe hiyo.

Taarifa zinadai mwendazake huyo alipata ajali hiyo mbaya iliyochukua uhai wake akiwa amepanda bodaboda moja almaarufu mishkaki pamoja na mdogowake wa kike( Mamake mdogo na MC Pilipili)

Inasemekana pia aliamua kutumia usafiri huo ili awahi kwenda kuchukua nguo maalumu aliyotarajia kuivaa siku hiyo ya harusi

Afrikana ni maeneo ya Mbezi Beach

FB_IMG_16084507724735060.jpg

Tunatoa pole nyingi kwa familia yote
 
Mwendazake huyo akienda hudhuria harusi ya mtoto wake na kupata ajali hiyo mbaya usiku wa kuamkia Desemba 20,2020 maeneo ya Afrikana Jijini Dar es salaam.

Tunatoa pole nyingi kwa familia yote
Rip!

Inasikitisha mama wa MC maarufu kupata ajali ya bodaboda tena wakiwa wamepanda mshikaki!
 
R.i.p mama, Duh inaumiza mno, imagine maumivu ya mwanae mwenye harusi.
 
Back
Top Bottom