Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miezi mingine hamnaga hajali sio? Hadi disemba?December hiyo hamna namna
RIPMwendazake huyo akienda hudhuria harusi ya mtoto wake na kupata ajali hiyo mbaya usiku wa kuamkia Desemba 20,2020 maeneo ya Afrikana Jijini Dar es Salaam.
Tunatoa pole nyingi kwa familia yote
Kifo,kifo,kifo hakina hurumaMwendazake huyo akienda hudhuria harusi ya mtoto wake na kupata ajali hiyo mbaya usiku wa kuamkia Desemba 20,2020 maeneo ya Afrikana Jijini Dar es Salaam.
Tunatoa pole nyingi kwa familia yote
Zile vodka ulizoacha naona umeanza kubugia tena mkuuRip mama mc,,huu ni msiba mkubwa kwa taifa hili..
Miezi mingine hamnaga hajali sio? Hadi disemba?
Hiv ule mjengo wa pale barabaran wa brown hiv ndo wa kina kimambiPale Africana kwa akina Mange Kimambi kuna shetani kwenye mbuyu!
Wana umuhimu gani kwa Taifa
Ha ha ha,,point yangu ni kwamba,nchi hii wamekufa watu wangapi leo,,so huyu labda ni very special ndo maana ameanzishiwa uzi..Zile vodka ulizoacha naona umeanza kubugia tena mkuu
Raha ya Milele umpe eeh Bwana na Mwanga wa milele umwangizie. apumzike wa Amani, Amina. Pole sana MC Pilipiliexpand...