sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Uppo bossInasikitisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uppo bossInasikitisha sana
kama ulienda shule kachome vyeti vyako.Kaka disemba watu wanarudisha CHENJI KWA WAKUU.wafunge mahesabu..
Ndo maana kuna maduka ikifika mwezi wa 12 mwishoni mwishoni wanafunga mpaka january.wenye Mali wanapiga hesabu zao za mwaka unaoisha na za mwaka unaokuja
Nipo boss,mambo vipiUppo boss
kama ulienda shule kachome vyeti vyako.
Naona limekuwa kama gofu sahv hakuna nuru kabisa naona mama k kashindwa kulisimamiaHapo ndio kwao pia kuna hotel yao imeandikwa triz motel,enzi ya miaka ya 98 ilikua inawika ikiitwa tiger motel
So sad, unampoteza mama aliyekuwa kwenye harakati za kuja kuona harusi yako.
Anafunga ndoa ya pili?
Nafuatilia Kupata Ufafanuzi
RIP Mama MC Pilipili.
Huyo mwanao asipolia hadi kugalagala, mtokee usingizini na kumtandika makofi manake sote tulimshuhudia alivyokuwa analia wakati wa kumvika pete mchumba wake!
Mwanae yupi?
Bi Marian Matebe(Mama Mc Pilipili) alikua amekuja kutoka Dodoma kuja kuhudhuria Harusi ya mtoto wake mwingine anaitwa Thomas Mathias(Tom, mdogo wake Mc Pilipili)Mwanae yupi ?otherwise Pole sana Mc kwa kuondokewa na mama
Poleni Wote Kwa MsibaBi Marian Matebe(Mama Mc Pilipili) alikua amekuja kutoka Dodoma kuja kuhudhuria Harusi ya mtoto wake mwingine anaitwa Thomas Mathias(Tom, mdogo wake Mc Pilipili)
Na nadhani ndoa ilishafungwa kabisa ila wakaenda kubadilisha nguo kwa ajili ya sherehe ya ukumbini ndo wakati wanarudi mauti yakamkuta. Amefariki yeye mama pamoja na mdogo wake(Ma mdogo wa Mc Pilipili)
Mungu awarehemu
View attachment 1655313View attachment 1655314View attachment 1655315
Asante kwa taarifa. Inasikitisha kweliBi Marian Matebe(Mama Mc Pilipili) alikua amekuja kutoka Dodoma kuja kuhudhuria Harusi ya mtoto wake mwingine anaitwa Thomas Mathias(Tom, mdogo wake Mc Pilipili)
Na nadhani ndoa ilishafungwa kabisa ila wakaenda kubadilisha nguo kwa ajili ya sherehe ya ukumbini ndo wakati wanarudi mauti yakamkuta. Amefariki yeye mama pamoja na mdogo wake(Ma mdogo wa Mc Pilipili)
Mungu awarehemu
View attachment 1655313View attachment 1655314View attachment 1655315
R.I.P ,pale njia panda ya africana pabaya sana. Kumbe walipanda mshikaki kwenye boda boda. Watu wanaweka rehani maisha yao. Nilishaapa siwezi panda boda boda kwenye lami/main roads hata siku moja.Mwendazake huyo akienda hudhuria harusi ya mtoto wake na kupata ajali hiyo mbaya usiku wa kuamkia Desemba 20,2020 maeneo ya Afrikana Jijini Dar es Salaam.
Tunatoa pole nyingi kwa familia yote
Laini laini mkuu. Za kulalia zile.Hawa bongo flavor wamekuwa wengi sana.huyo mc pilipili ni hip pop au ndo hizi nyimbo laini laini?
Pale Africana kwa akina Mange Kimambi kuna shetani kwenye mbuyu!