Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanzon hata mm nilijua ni ajali ya gari nilishangaa sana ajali kuuwa wawili hlf eneo lenyewe sinza. Kumbe walipanda boda. RipMmh, hivi hio ajali ni ajali ya baskeli, gari, pikipiki ama kitu gani? Mbona its unclear. Mtu anakufa Sinza kwa ajali ambayo haisemwi wala picha hakuna?
Mwanzon hata mm nilijua ni ajali ya gari nilishangaa sana ajali kuuwa wawili hlf eneo lenyewe sinza. Kumbe walipanda boda. Rip
Najaribu kuwaza kwa sauti kwamba walikosaje gari ya kumhudumia mama yake mzazi aliyepata ajali ya bodaboda akiwa anaelekea nyumbani kubadilisha nguo kwa ajili kuingia ya ukumbini kwenye harusi ya mdogo wake MC Pilipili ⁉️Mwendazake huyo akienda hudhuria harusi ya mtoto wake na kupata ajali hiyo mbaya usiku wa kuamkia Desemba 20,2020 maeneo ya Afrikana Jijini Dar es Salaam.
Tunatoa pole nyingi kwa familia yote
Najaribu kuwaza kwa sauti kwamba walikosaje gari ya kumhudumia mama yake mzazi aliyepata ajali ya bodaboda akiwa anaelekea nyumbani kubadilisha nguo kwa ajili kuingia ya ukumbini kwenye harusi ya mdogo wake MC Pilipili ⁉️
Pole yake na kwa Familia, ila nimeshangaa kuona mahala kuwa alipanda Bodaboda wakati najua Mwanae hujitapa kuwa na Utajiri mkubwa nchini.Mwendazake huyo akienda hudhuria harusi ya mtoto wake na kupata ajali hiyo mbaya usiku wa kuamkia Desemba 20,2020 maeneo ya Afrikana Jijini Dar es Salaam.
Tunatoa pole nyingi kwa familia yote
Ni ajali ya bodaboda siyo gari!Mwendazake huyo akienda hudhuria harusi ya mtoto wake na kupata ajali hiyo mbaya usiku wa kuamkia Desemba 20,2020 maeneo ya Afrikana Jijini Dar es Salaam.
Tunatoa pole nyingi kwa familia yote
Huyo mama na mdogo wake wakiwa shughuli inaanza waliamua kutoroka kwa toyo kwenda salasala chap kwa pikipiki bila kuaga ndio wakakutwa na janga hiloPole yake na kwa Familia, ila nimeshangaa kuona mahala kuwa alipanda Bodaboda wakati najua Mwanae hujitapa kuwa na Utajiri mkubwa nchini.
Mama mwenyewe alitoroka bila kuaga akachukua toyo mc pilipili Wana mtafta haonekani ndio kupigiwa simu ajali imetokeaNajaribu kuwaza kwa sauti kwamba walikosaje gari ya kumhudumia mama yake mzazi aliyepata ajali ya bodaboda akiwa anaelekea nyumbani kubadilisha nguo kwa ajili kuingia ya ukumbini kwenye harusi ya mdogo wake MC Pilipili [emoji3480]
Mama mwenyewe alitoroka bila kuaga akachukua toyo mc pilipili Wana mtafta haonekani ndio kupigiwa simu ajali imetokea
Mbali sanaUnarepot ukiwa wap?
Mwendazake ni kizanziberi means a deceased person.Mwendazake huyo akienda hudhuria harusi ya mtoto wake na kupata ajali hiyo mbaya usiku wa kuamkia Desemba 20,2020 maeneo ya Afrikana Jijini Dar es Salaam.
Tunatoa pole nyingi kwa familia yote
Yani mama wa mtu anaejifanya star..anapanda boda kweli?Mwanzon hata mm nilijua ni ajali ya gari nilishangaa sana ajali kuuwa wawili hlf eneo lenyewe sinza. Kumbe walipanda boda. Rip
Najaribu kuwaza kwa sauti kwamba walikosaje gari ya kumhudumia mama yake mzazi aliyepata ajali ya bodaboda akiwa anaelekea nyumbani kubadilisha nguo kwa ajili kuingia ya ukumbini kwenye harusi ya mdogo wake MC Pilipili ⁉️
Huyo mama na mdogo wake wakiwa shughuli inaanza waliamua kutoroka kwa toyo kwenda salasala chap kwa pikipiki bila kuaga ndio wakakutwa na janga hilo
Punguza wenge bwasheePale Africana kwa akina Mange Kimambi kuna shetani kwenye mbuyu!