niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,606
- 5,295
Pole sana kwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anafunga ndoa ya pili?So sad..unampoteza mama aliyekuwa kwenye harakati za kuja kuona harusi yako
Nafuatilia Kupata UfafanuziAnafunga ndoa ya pili?
Ni Lini Pengo Linazibika?Hakika pengo lake halitazibika kamwe.
Mwenyezi Mungu amlaze anapostahili mama yetu.🙏🙏🙏🙏
No wonder yule dada naniliu yuko vile.Pale Africana kwa akina Mange Kimambi kuna shetani kwenye mbuyu!
Ule usawa wa Tanesco!Hiv ule mjengo wa pale barabaran wa brown hiv ndo wa kina kimambi
Mkuu, kwa hiyo unamuonea wivu?Ha ha ha,,point yangu ni kwamba,nchi hii wamekufa watu wangapi leo,,so huyu labda ni very special ndo maana ameanzishiwa uzi..