Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Acheni roho za korosho kwani wangapi wanakufa kwenye magari?Bodaboda siku ya harusi ya mwanaye? Msiwe mnawaleta wazazi mjini kama hamuwapendi hivyo.
Kubadili nguo salasala ? Tena wewe mgeni bongo.
Ukute ndo hiyo wanasema "Tunataka damu ya uchungu" Ngoja tu tutasikia.
Cha msingi ni kuwa makini ila sio kusema ukitumia usafiri flani huwezi kukumbana na kifo.
Watanzania acheni ujuaji wa kila kitu.