TANZIA Mama Mzazi wa MC Pilipili afariki Dunia kwa ajali

Ila alipanda pikipiki
 
Kikweli huyu jamaa kazingua sana inashangaza hata anavyojilizaliza kule insta. Labda anajiongezea folowaz kiaina.

Ww supastaa unamwachia bi mkubwa aning'inie kwene boda hlf wamepanda mtungo na dere watatu....haaaaaa come ooon!!. Hiv mambo zngine kumtafuta mungu maneno tu.
 
Dah kuna siku nilipanda boda,
Nikawa simwelewi Nikamuuliza dogo vipi?!!

Akavuta pumzi akaniambia sister wewe ndo abiria wangu wa kwanza bado sijaiweza vizuri[emoji41][emoji41]
 
na jamaa huyo mc yupo tu anapiga mastory sijui mama wa taifa blaaa blaaaa kafa hivi we mamako kafa hata nguvu kubwabwaja unatoa wapi?
Mi ningezima kila kiitu na ninatangaza nimempoteza mama kwaherini.
 
Pole kwa wana familia! Wapumzike kwa Amani!
 
na jamaa huyo mc yupo tu anapiga mastory sijui mama wa taifa blaaa blaaaa kafa hivi we mamako kafa hata nguvu kubwabwaja unatoa wapi?
Mi ningezima kila kiitu na ninatangaza nimempoteza mama kwaherini.
Upeo
 
Dah kuna siku nilipanda boda,
Nikawa simwelewi Nikamuuliza dogo vipi?!!

Akavuta pumzi akaniambia sister wewe ndo abiria wangu wa kwanza bado sijaiweza vizuri[emoji41][emoji41]
Yes ndio ukweli wenyewe ,mie naishi nao na napiga nao story sana hawa bodaboda!! Wengi ni Empty Set.
 
Yes ndio ukweli wenyewe ,mie naishi nao na napiga nao story sana hawa bodaboda!! Wengi ni Empty Set.
Na wewe abiria usiyevaa helmet na unakubali kupanda Mshkaki si ni sawa na Bodaboda Empty Set tu!!!... .Hii ajali ya Mamaye MC ituamshe akili... Hichi ni kifo cha kujitakia some times.
 
Halafu ni siku ya harusi! MC hajui kama mama mzaa chema anaandaliwa usafiri wake siku ya harusi? Huu ukanjanja umezidi kipimo sasa!
 
Kwahiyo walipanda mshikaki,mc pilipili si tajiri wa dom
Walichukua Toyo kuwahi kuchukua nguo Tena hawakuhaga mtu ukumbini, maana mama aliambiwa ataletewa nguo, asubiri, mdogo wake akamkokota
 
Walichukua Toyo kuwahi kuchukua nguo Tena hawakuhaga mtu ukumbini, maana mama aliambiwa ataletewa nguo, asubiri, mdogo wake akamkokota
Kifo wakati mwingine kinakuita tu ili ukafe. Tayari uko ukumbini bado roho haitulii unaenda kwa fundi kuchukua nguo.

Likiandikwa limeandikwa.
 
Unapandaje mshikaki?
Yaani kabisa mnakuwa watu watatu kwenye chombo cha magurudumu mawili kinachotakiwa kisibebe zaidi ya watu wawili!!
 

Huku ajali ya gari na kule ajali ya bodaboda tushike lipi
 
Very true
 
na jamaa huyo mc yupo tu anapiga mastory sijui mama wa taifa blaaa blaaaa kafa hivi we mamako kafa hata nguvu kubwabwaja unatoa wapi?
Mi ningezima kila kiitu na ninatangaza nimempoteza mama kwaherini.
Huyu jamaa kichwa chake sio kizima[emoji848][emoji848]

Yaan kule insta kila dk tano anapost video yeye na mamaake huku akishushia na mgazeti huo[emoji848]

Hizo nguvu na vidole kutype anazipata wapi?

Ndo maana raia insta wanasema anyang'anywe simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…