TANZIA Mama mzazi wa Mwandishi Erick Kabendera, Verdiana Mjwahuzi amefariki dunia leo Jumanne Desemba 31, 2019

Na kweli ilikua kubwa na haina mfano na haijawahi tokea..ulisema sahihi kabisa...
 
Mi naamini mwanzo wa mwisho wa utawala wa bwana yule ulianzia hapa.

Kifo cha huyu bibi hakikufika ghafla alikua na taarifa nacho kabisa.

Kweli mtu anatakatisha fedha halafu mama yake anakosa pesa za dawa kweli?
 
bila kuweka siasa mama kabendere ameacha laana moja nzito ambayo itatembea na mtu kama sio watu .
tena kama roho yake ilisamehe ndo mtaona cha moto mana atakachowaonesha Mungu mtajuta.

tuache dhambi ndugu zangu
Mambo kama haya ndio yanafanya nizidi kuamini ukuu wa Mungu siku zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…