Kwa maslahi ya taifa etiPPersonal Plea Kwa Rais Magufuli: Kama ameweza kuwasamehe wabakaji, wauaji, mafisadi, wahujumu, anaweza pia kumsamehe Eric Kabendera, amzike mama yake
Wanabodi Tangu kukamatwa kwa Mwandishi wa habari za kiuchunguzi Eric Kabendera, na kukamatwa kule kukahushishwa na makala zake, na kwa vile ni mimi niliyekuwa natafsiri makala za majarida ya nje na kuzileta humu jf, hivyo nikatuhumiwa kuwa ni makala za jf ndio zimemchongea Eric Kabendera...www.jamiiforums.com
Kama paka mwizi wa maziwa na samakiKuna mtu kesho utamuona mbele ya madhabau kafumbata mikono kwa unyenyekevu
Sent using Jamii Forums mobile app
Shocked!.
Kama ni kweli Eric Kabendera anashikiliwa kwa sababu ya kalamu yake hivyo hayo mengine yote ni kisingizio tuu, na yeye ndiye alikuwa tegemeo la mama yake na mama yake amefariki baada ya kukosa huduma na usongo wa mawazo wa kukamatwa kwa mwanaye, then karma ya kifo cha huyu mama itakuwa ni kubwa na haina mfano!.
Karma is real na haina mswalie Mtume.
Pole sana Eric Kabendera
Mungu akufariji na Mungu akupiganie.
P
Wewe britanicca si ulikua mnazi wa upande wenye makali ya nchi?Wanafki wengi sana wana comment kama wanamjua huyo Mungu,wakati tangu mwanzo walikuwa wanasema akome, sijui chama lao babalao.Haya mtu kapoteza mzazi hizo R.I.P zenu sijui pole,hazisaidii tena, hazina maana,now tumekuwa watu wa Mungu eeh? mungu yupi?
stupid is stupid even painted colour! Shame!!!Nayo habari kwani kuna wangapi wamekufa leo ujinga tu huu na uchinganishi
Hayo maneno yafaa kwa mtu anayejua maana ya sala ya baba yetu uliyembinguni.....na Mkristo Wa kweli.Sala ya baba yetu uliyembinguni..... Ina maana nzito kiuhalisia kama unajua maana yakeDah... so sad!!
Magufuli Magufuli hapa duniani wote tutapita, uwe na hofu ya Mungu na ukumbuke kuwa hata wewe umeumbwa kwa moyo wenye nyama...!
Kwamfano ungesikia kilio cha huyu bibi ungepungukiwa nini kwenye utawala wako?
Amini amini nakwambia mjomba John kifo cha huyu bibi umeki accelerate wewe, vilio na majonzi ya wanandugu wote viko juu yako ww.
John kumbuka Yesu pale msalabani licha ya maumivu makali na mateso aliyopata lakini alimsamehe mharifu aliyekuwa amehangikwa msalabani!
Magufuli siyo wewe uliyemtoa gerezani Babu seya mlawiti?!!
NduguInasikitisha sana.
Shetani anapotamalaki juu ya nchi, haki hupotea, majuto na huzuni huenea, uonevu huwa furaha ya watawala, ibilisi hufurahia uwezo wa kutwaa uhuru wa watu, machozi ya wenye haki hudondokea mavumbini, Bwana wa mbingu huruhusu ubaya udhihirike ili shetani apate kuonekana kwa uwazi. Mioyo ya wenye hekima hutiwa upofu na woga. Ibilisi hujisifia kwa mateso ya wana wa Mungu.
Naam, lakini nyakati zaja, ibilisi atakapokanyagwa na nguvu ya Mungu. Ndipo watu wote, walio wa Mungu na mawakala wa shetani, watauchukia uovu na yule bwana wa uovu, yaani shetani. Watazilaani nafsi zao maana hawakutenda lolote lililowapasa kutenda kwaajili ya utukufu wa Mungu wa kweli. Waliwaabudu wanadamu, na walijisogeza kwa ibilisi ili wajipatie mvinyo wenye ladha nzuri bila ya kujali kama mvinyo ule ulikuwa na matone ya damu na machozi ya waliodhulumiwa haki.
Pole sana wafiwa, pole sana Kabendera. Kabendera na wafiwa wote, mkumbuke kuwa katika maisha yetu wanadamu, kila litokealo, limeandikwa katika akaunti zetu za safari yetu ya maisha. Shukuruni katika kila jambo maana Mungu wetu hakuwahi kupungukiwa hekima wala ukuu wake, wala maombi ya wenye haki hayakuwahi kulikosa sikio la Mungu.
Hawez jua nakuhakikishia, ujue mtu mwenye hofu ya MUNGU ukimuona tu usoni unaona huyu ana hofu ya MUNGU, na watu wenye hofu ya MUNGU lazima walitokea kwenye jamiii ya watu wa MUNGU koo za watu Wa MUNGU familia ya watu wa MUNGUNdivo itakavokuwa
Hayo maneno yafaa kwa mtu anayejua maana ya sala ya baba yetu uliyembinguni.....na Mkristo Wa kweli.Sala ya baba yetu uliyembinguni..... Ina maana nzito kiuhalisia kama unajua maana yake
We pimbi leo umekuwa mwema kwa ErickShocked!.
Kama ni kweli Eric Kabendera anashikiliwa kwa sababu ya kalamu yake hivyo hayo mengine yote ni kisingizio tuu, na yeye ndiye alikuwa tegemeo la mama yake na mama yake amefariki baada ya kukosa huduma na usongo wa mawazo wa kukamatwa kwa mwanaye, then karma ya kifo cha huyu mama itakuwa ni kubwa na haina mfano!.
Karma is real na haina mswalie Mtume.
Pole sana Eric Kabendera
Mungu akufariji na Mungu akupiganie.
P