Watageuka wote ni muda tu, wewe wasubirie kila Jambo huwa na mwisho wanaoshabikia ujinga Kwa kumfananisha mtu na MUNGU iposiku watajua kuwa wanatetea shetani wewe subiri, kumbuka Mwaka 2016 had 2017 kulikuwa na vijana humu waliokuwa wanatetea utawala had ukipinga tu wanakushambulia Kama nyuki na ndio waliotawala hili jukwaaa miaka hiyo walipatizwa book Saba toka lumumumba 2018 walipuputika Kama majani ya muembe kipindi cha kiangazi maaana walikuwa wanatumiwa na mwigulu, makamba, nape, na wengne ambae bado wako kwenye nafas hivi hao vijana humu unawaona? Hawapo wamebaki vijana wa makonda tu humu tena wachache Sana nao watageuka mmoja had mwingne
Sent using
Jamii Forums mobile app