jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,847
Mwanae wamempachika kosa la uongo ili wamfunge mdomo, mama wa watu amekaa hospitali siku zote akiamini kuna siku angemuona tena mwanae, na ninaamini amefikwa na mauti akijua mwanae ataachiwa, bahati mbaya waliomshikilia mwanae ni wanyama, makatili, wauaji, wasiojali utu, najua wapo watakaosema Erick ana kosa ni mtuhumiwa, lakini mimi nasema hilo walilompa ni la uongo, kwa sababu halina dhamana wameamua kumficha mahabusu ili asiendelee kuandika zile makala zake.
Wamemnyan'ganya mwanae haki yake ya kumuona mama yake siku za mwisho wa uhai wake, iko siku Mungu atawalipia wote walioguswa na msiba huu, Mwenyezi Mungu aipumzishe roho ya mama mzazi wa Eeick mahala pema peponi, Amen.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamemnyan'ganya mwanae haki yake ya kumuona mama yake siku za mwisho wa uhai wake, iko siku Mungu atawalipia wote walioguswa na msiba huu, Mwenyezi Mungu aipumzishe roho ya mama mzazi wa Eeick mahala pema peponi, Amen.
Sent using Jamii Forums mobile app