TANZIA Mama mzazi wa Tuly Nasa (Kada wa Chadema aliyefariki wiki iliyopita) naye afariki dunia

TANZIA Mama mzazi wa Tuly Nasa (Kada wa Chadema aliyefariki wiki iliyopita) naye afariki dunia

Mnisamehe wadau.

Kitu ninachokiona hapo kwenye picha ni dharau kwa wafiwa huyo mama na kijana, wenzake nyuma wamevaa barakoa na sidhani kama walisimama kwa muda hapo kwa marehemu ila yeye kwa sababu ni mwanae na ameguswa akaona mtoto hajafa kwa corona, na yeye mdo mzazi so aachwe aage kwa majonzi yote.

ILANI: Kwa sasa tuwe makini hata kama mgonjwa kafariki kwa ajali please picha itumike kuaga marehemu, halu siyo nzuri, tuchukue tahadhari zote na tuache mazoea ndg watanzania.
Kitabibu mtu anapokua analia na kupumua kwa shida sababu ya majonzi huvuliwa barakoa apate hewa ya kutosha.
 
Hapa huenda ilikuwa too late hata kuvaa barakoa. Kama ni mwanae basi kuna possibility kubwa alikuwa anamuuguza (kama walikuwa wanaishi wote) hivyo pengine alikwisha ambukizwa. Anyways sipingi wazo lako la kuvaa barakoa ila nimechangia kuonyesha huu ugonjwa unavyokuwa deadly kama hauna muongozo mzuri kutoka serikalini.
Kwani huu una muongozo mpya tuache kuibebesha serikali mizigo huu ugonjwa tayali unamuongozo wake tangu mwaka jana engekua vifo vinazuilika na serikali wazungu wasingekufa tuchukue tahadhali likikupata lako hilo.
 
Kwani huu una muongozo mpya tuache kuibebesha serikali mizigo huu ugonjwa tayali unamuongozo wake tangu mwaka jana engekua vifo vinazuilika na serikali wazungu wasingekufa tuchukue tahadhali likikupata lako hilo.
Nikishaona mtu asiyejua tofauti kati ya ''tayali'' na ''tayari'' au ''tahadhali'' na ''tahadhari'' moja kwa moja najua ni ''elimu gongana'' na uelewa wake ni mdogo hivyo bora kuzingatia ule msemo wa ''Never argue with.......''
 
Mnisamehe wadau.

Kitu ninachokiona hapo kwenye picha ni dharau kwa wafiwa huyo mama na kijana, wenzake nyuma wamevaa barakoa na sidhani kama walisimama kwa muda hapo kwa marehemu ila yeye kwa sababu ni mwanae na ameguswa akaona mtoto hajafa kwa corona, na yeye mdo mzazi so aachwe aage kwa majonzi yote.

ILANI: Kwa sasa tuwe makini hata kama mgonjwa kafariki kwa ajali please picha itumike kuaga marehemu, halu siyo nzuri, tuchukue tahadhari zote na tuache mazoea ndg watanzania.
Nakumbuka mwaka jana mwezi wa 12 kuna mzee mtaani kwetu alikufa ghafla tu
Mchungaji akatoa maelekezo hakuna kuangalia mwili wa marehemu kwenye jeneza
Ilitembezwa picha tu nadhani huu utaratibu ungetumika
 
Bado wabongo wanashadadia misiba
Hali iliyepo misiba syo pa kwenda
Mjiongezeeeeeeeee
Watu mtadondokaaaaaaa/tutadondokaaaa
Sanaaaaa

Ova
 
Kitabibu mtu anapokua analia na kupumua kwa shida sababu ya majonzi huvuliwa barakoa apate hewa ya kutosha.
Nashukuru sana sana ILA...
Huyo kijana pembeni naye analia?(usinipe jibu) but katika mazingira haya tuliyo nayo tahadhari ni muhimu sana kuliko majonzi ya muda mfupi.
 
Back
Top Bottom