TANZIA Mama mzazi wa Tuly Nasa (Kada wa Chadema aliyefariki wiki iliyopita) naye afariki dunia

TANZIA Mama mzazi wa Tuly Nasa (Kada wa Chadema aliyefariki wiki iliyopita) naye afariki dunia

Chadema inatangaza msiba wa mama mzazi wa Tuly Nasa aliyekuwa kada wa Chadema ambaye kwa sasa ni marehemu aliyezikwa wiki iliyopita. Msiba umetokea leo alfajiri.

Wiki iliyopita mama huyo alikuwa mzima na alishiriki mazishi ya mwanaye huyo wa kike.

Picha mama mwenye nguo nyeupe (ambaye amefariki dunia mapema leo) akimuaga mwanaye marehemu Tuli Nasa.
View attachment 1707061
Na huyu kijana aliyemshika mama, ajiangalie. Wengine wamevaa barakoa ila wao hawakuamini kama Tuly amefariki kwa Corona eh?
Upumbavu na ujinga ndio ndoano yetu ya kuukwaa huu ugonjwa
 
Mwaka huu wazee hatutoboi.......tutaacha wajane wengi sana.....maana sioni pa kutokea........

Liwalo na liwe maana hakuna namna......mpaka huu ugonjwa upite vijana watakuwa wameshatajirika na mirathi na wengine kuuwana kwa kugombea mirathi....maana imeshakuwa tete......
 
Mwaka huu wazee hatutoboi.......tutaacha wajane wengi sana.....maana sioni pa kutokea........

Liwalo na liwe maana hakuna namna......mpaka huu ugonjwa upite vijana watakuwa wameshatajirika na mirathi na wengine kuuwana kwa kugombea mirathi....maana imeshakuwa tete......
We ndio Vicky Kamata nini?
 
Corona siyo!!,Mama nae kaondoka kisa alimuuguza mwanae![emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 1707059View attachment 1707060
Hat
Corona siyo!!,Mama nae kaondoka kisa alimuuguza mwanae![emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 1707059View attachment 1707060
Halafu kiongozi Mkuu anasema hakuna Korona tusitishane. Kuna familia Mpwapwa bi mkubwa alienda kumtazama jirani mwenye Korona Kwa kuwa ni majirani alikuwa akienda mara Kwa mara, jirani kafariki, yeye kaupeleka nyumbani kafariki na binti yake kamfuata.
 
Chadema inatangaza msiba wa mama mzazi wa Tuly Nasa aliyekuwa kada wa Chadema ambaye kwa sasa ni marehemu aliyezikwa wiki iliyopita. Msiba umetokea leo alfajiri.

Wiki iliyopita mama huyo alikuwa mzima na alishiriki mazishi ya mwanaye huyo wa kike.

Picha mama mwenye nguo nyeupe (ambaye amefariki dunia mapema leo) akimuaga mwanaye marehemu Tuli Nasa.
View attachment 1707061
Msongo was mawazo umemuondoa
Hata ukiangalia hyo picha hi ata kulia ameshindw
Mbaya Sana jaman
RIP
 
Mwaka huu wazee hatutoboi.......tutaacha wajane wengi sana.....maana sioni pa kutokea........

Liwalo na liwe maana hakuna namna......mpaka huu ugonjwa upite vijana watakuwa wameshatajirika na mirathi na wengine kuuwana kwa kugombea mirathi....maana imeshakuwa tete......
Mkuu mbona kama kauli ya kukata tamaa...hapana tuendelee kupambana mpaka mwisho..
 
Nakumbuka mwaka jana mwezi wa 12 kuna mzee mtaani kwetu alikufa ghafla tu
Mchungaji akatoa maelekezo hakuna kuangalia mwili wa marehemu kwenye jeneza
Ilitembezwa picha tu nadhani huu utaratibu ungetumika
Sasa nikitaka kufanya ufufuo je?
 
Mama na huyo wa kiume hawana barakoa, siwezi kuthibitisha kam Corona ndio umewaondoa lakini ni vyema tuchukue tahadhari kujilinda.
Hiyo lazima ni corona. Hawakuchukua tahadhali
 
Tuchukue tahadhari jamani,hali inaonekana huku mitaani kwani hali ni mbaya,kila mmoja awe kiongozi wa watu wake wa karibu kwani hatua zilizochukuliwa na mamlaka zinaonekana


,kwahiyo tusikaze mishipa kujiachie kwa upana...
 
Mnisamehe wadau.

Kitu ninachokiona hapo kwenye picha ni dharau kwa wafiwa huyo mama na kijana, wenzake nyuma wamevaa barakoa na sidhani kama walisimama kwa muda hapo kwa marehemu ila yeye kwa sababu ni mwanae na ameguswa akaona mtoto hajafa kwa corona, na yeye mdo mzazi so aachwe aage kwa majonzi yote.

ILANI: Kwa sasa tuwe makini hata kama mgonjwa kafariki kwa ajali please picha itumike kuaga marehemu, halu siyo nzuri, tuchukue tahadhari zote na tuache mazoea ndg watanzania.
Usisikie kufiwa na mwana ama mzazi wewe.
Ni rahisi kuchukulia Poa iwapo si wewe lakini.
 
Mama na huyo wa kiume hawana barakoa, siwezi kuthibitisha kam Corona ndio umewaondoa lakini ni vyema tuchukue tahadhari kujilinda.
ndio, wapo hawa mawaziri wanaounga mkono Rais kutovaa barakoa. Corona ipo itawatia adabu tu
 
Back
Top Bottom