mama na mtoto wafumwa wakibanjuana

Tatizo aliyetoa hukumu hiyo ya kifo ni yeye pia ndio mlalamikaji na pia shahidi pekee! Kuna uwezekano mkubwa muuwaji huyu ameficha sababu hasa ya mauwaji hayo (hilo la kuwafumania pengine ni kutafuta sympathy/empathy tu)!
Nakubaliana na wewe kabisa....yawezekana hii ni njia tu ya kuji hedge!
 
Tatizo aliyetoa hukumu hiyo ya kifo ni yeye pia ndio mlalamikaji na pia shahidi pekee! Kuna uwezekano mkubwa muuwaji huyu ameficha sababu hasa ya mauwaji hayo (hilo la kuwafumania pengine ni kutafuta sympathy/empathy tu)!

Au litoto la kambo. Maana mizee mingine inaoa wake wanaolazimika kuwaamkia watoto wao...
 
Huo msinambi wa mamako utaanzaje kuutazama achilia mbali kusukuma gozi! ee mungu tusamehe!!!!!
 
Mimi sitazungumzia hayo mengine,nataka kujua,uhalali wa huyo jamaa wa kuua anadhani ameutoa wapi?
 
Naona hata adhabu waliyopewa wanastahili kabisa!! Ila huyo mzee angenza kwa kuwatembeza uchi kwanza!!!

cha kwanza baada ya kusikia issue hii nilitamani ningekuwa mwanasheria ningejitolea angalau kupunguza adhabu ya huyu baba maana kitendo walichofanya mama na mtoto wake hakika hakikubaliki kabisa..
 
uwiiiiiiiiiii tumefikia pabaya! hivi huyo mama alikuwa wet kabisa?? mbona hainiingii akilini?? lol! Lord Have Mercy!
 
eeeeh dogo alikuwa nabembea kinenani mwa mamaye!
Aiiiseeeeee
Kweli akili zinarudi nyuma na kuwa kama za wanyama
 
huyo ni mtoto wake kabisa wa kumzaa au mtoto wa kambo..maana watoto wako wa aina nyingi siku hizi
 
cha kwanza baada ya kusikia issue hii nilitamani ningekuwa mwanasheria ningejitolea angalau kupunguza adhabu ya huyu baba maana kitendo walichofanya mama na mtoto wake hakika hakikubaliki kabisa..
he can plead temporary insanity, it may work if he convinves the jury/judge he lost control after seeing his wife and son doing it. he'll never the light of freedom though, overall sad story with a sad ending.
 
 
Kama mie CCM isivyoniingia akilini
Wewe tu ndio haikuingii akilini....majority ya watanzania imewaingia akilini na mioyoni ndio maana imekuwa ikitawala siku zote!!
 
Huko Zimbabwe kuna kijana alifunga ndoa na mama yake mzazi,ni upendo tu.
 
Kweli wamekosea kulingana na maadili ya kiafrika zaidi (Siwasemei wengineo). Lakini sio sahihi kulaumu sana kabla ya kujua mazingira yaliyowaingiza katika kufanya hivyo. Bahati kwa sasa kuna vyombo vya habari vinapaisha mambo shashaa, lakini hayo sio mapya ila hayatangazwi sana. Hata huyo mchinjaji mnajuaje yeye ni msafi kihivyo? Hamjasikia baba akibanjuana na binti yake wa kumzaa? Dhambi ni dhambi tu, hata ukimwona mwanamke kwa jicho la mapenzi umeshazini naye, the same applies kwa mwanamke. Kuta za nyumba na mapaa yake vinaficha siri nyingi kwa watu ingawa Mungu anayaona yoooote kabisa.
 
Tatizo aliyetoa hukumu hiyo ya kifo ni yeye pia ndio mlalamikaji na pia shahidi pekee! Kuna uwezekano mkubwa muuwaji huyu ameficha sababu hasa ya mauwaji hayo (hilo la kuwafumania pengine ni kutafuta sympathy/empathy tu)!

Hapa umenena maana watu hawaanalyse wanatoa hukumu na kuendorse uovu aliofanya huyu baba mnyama mkubwa.
Nani kampa ruhusa ya kutoa hukumu na kuua.

Huyu baba apewe adhabu kali sana na liwe fundisho kwa wanaume wote wenye tabia kama yake ya kuchukua sheria mkononi.
 
Reactions: SMU
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…