mama na mtoto wafumwa wakibanjuana

Huko Zimbabwe kuna kijana alifunga ndoa na mama yake mzazi,ni upendo tu.

Wewe unafunga ndoa na mama yako lini....!? maana yaonekana wewe unaona poa tu au wewe huna upendo na mama yako mzazi...
 
Mzee atakuwa 60 na akaoa mke wa 22 huku aliwa na kula na kulala wa 28.....ndipo nitaikubali hadithi hii
 
Mkuu umeongea kwa uchungu mkubwa kabisa as if wewe ni mhusika....hahahahaa, kuhusiana na umri labda lilinipita mkuu na nimejaribu kuritafuta kwenye tovuti ya radio free Africa naona tovuti yao haiko hewani hata hivyo mke wa baba yako ni mama yako tu.
 
 
Dogo ameamua kubanjua alipo tokea
 
Kuna mzee mmoja alikuwa mfanyi kazi wa HR NBC enzi zile alikuwa akibanjua binti yake.
Mwingine alikuwa Director wa inspection NBC naye alikuwa akibanjua binti yake
Mmoja wa wakuu wa chuo cha IFM miaka ya 90 aliye wahi kuiba mamilioni hapo IFM naye alikuwa akibanjua binti yake
Dada mmoja alikuwa mtumishi wa NBC naye alikuwa akibanjuliwa na baba yake

Sidhani kama ni mambo ya waganga,
nionvyo mimi ni ugonjwa utokanao na kutokuwa na emotion akilini mwako.
Mijitu hii siku zote haijali, haiogopi na haina aibu hata kidogo.
Watu hawa hata wangezaliwa nguruwe huku wakiwa na ufahamu wao wa kibinadamu wala wasingejisikia vibaya.
 
Mi namshangaa zaidi huyu kijana.... storongo iliwezaje kusimama na kupenya kwenye mfurunge wa mama yake? Khaa!
Asprin hiki ni kikabila ama? storongo na mfurunge? kiukweli sijui ni nini hii aisee.
 
Last edited by a moderator:
Huyo mzee inawezekana hakuwa mkweli kwenye taarifa yake, hapa swali ni kwamba ninani ambaye alishuhudia nae kwamba mke wake na mtoto wake wanavunja amri ya sita? kama hamna ukweli ni kwamba huyu mzee alikuwa na issue zake binafsi.
 
Hata mimi siko convinced kuwa muuaji anasema ukweli ukizingatia alikuwa peke yake kwenye tukio.

Tatizo aliyetoa hukumu hiyo ya kifo ni yeye pia ndio mlalamikaji na pia shahidi pekee! Kuna uwezekano mkubwa muuwaji huyu ameficha sababu hasa ya mauwaji hayo (hilo la kuwafumania pengine ni kutafuta sympathy/empathy tu)!
 
Reactions: SMU
Mijanaume inayotembea na binti zao ipo ya kumwaga...ila sijawahi kuona wala kusikia mama anatembea na mtoto wake. Sijawahi.

 
Tatizo aliyetoa hukumu hiyo ya kifo ni yeye pia ndio mlalamikaji na pia shahidi pekee! Kuna uwezekano mkubwa muuwaji huyu ameficha sababu hasa ya mauwaji hayo (hilo la kuwafumania pengine ni kutafuta sympathy/empathy tu)!

You are very bright than anyone here and anywhere. You are among those I admire most

Sent from my BlackBerry 9910 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…