Mama na uzanzibari wake ataweza kupambana na midume hii ya bara?

Mama na uzanzibari wake ataweza kupambana na midume hii ya bara?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Mama Samia amejengwa na utamaduni wa wazanzibari wa "muhali". Huku bara hakuna kitu kama hicho.

Jitu likikuamulia kila uchwao linaongeza mbinu za kukuangamiza. Kingine ni kwamba mijitu ya huku bara inaweza kuwa inakuchekea usoni lkn moyoni ina chuki ya kukuua

Mama amejiandaa kwa yote haya? Anadhani wale wote waliokuwa wanasimama juzi pale ikulu na kuimba "tunaimamani na Samia" ni kweli wanampenda?

Midume hii ya ccm kweli itakubali 2025 huyu mama asimame kama mgombea urais ndani ya chama chao?

Mama akiweza kuvuka figisu, uhuni, unafiki na uzandiki unaofanywa na midume hii ya bara atastahili tuzo ya Nobel.
 
Mama Samia amejengwa na utamaduni wa wazanzibari wa "muhali". Huku bara hakuna kitu kama hicho.

Jitu likikuamulia kila uchwao linaongeza mbinu za kukuangamiza. Kingine ni kwamba mijitu ya huku bara inaweza kuwa inakuchekea usoni lkn moyoni ina chuki ya kukuua

Mama amejiandaa kwa yote haya? Anadhani wale wote waliokuwa wanasimama juzi pale ikulu na kuimba "tunaimamani na Samia" ni kweli wanampenda?

Midume hii ya ccm kweli itakubali 2025 huyu mama asimame kama mgombea urais ndani ya chama chao?

Mama akiweza kuvuka figisu, uhuni, unafiki na uzandiki unaofanywa na midume hii ya bara atastahili tuzo ya Nobel.

C023DF1B-E746-4659-B3D7-7F17E6323B9F.jpeg
 
Kupita anaweza pita but ategemee tough situation ever
 
Midume ? Yaani midume yenyewe akina Makonda ?

Aafu hapo Samia Suluhu Hasan, hiyo Suluhu umeiona ni ya wapi ? Basi akili kichwani mwako,jingine Samia yupo hapo kama kioo cha Wakina Mama wote wa Tanganyika na Zanzibar ,so mshukuru mmempata huyo je angekuwa yule mdada Gwajima, Angewafukuza kina Ndugai wote hadharani mchana kweupe ,hakuna kulindwa naKatiba wala bunge.
 
Yeye mwenyewe muhuni tuu wacha na wenyewe wamfanyie undava, .......undava undava
Yaani wangemuweka kwenye bomba wamning'inize kama popo bila nguo kwenye terevisheni ya taifa waunganishe na itv,azam TV siku mzima tumuangalie
 
Mama Samia amejengwa na utamaduni wa wazanzibari wa "muhali". Huku bara hakuna kitu kama hicho.

Jitu likikuamulia kila uchwao linaongeza mbinu za kukuangamiza. Kingine ni kwamba mijitu ya huku bara inaweza kuwa inakuchekea usoni lkn moyoni ina chuki ya kukuua

Mama amejiandaa kwa yote haya? Anadhani wale wote waliokuwa wanasimama juzi pale ikulu na kuimba "tunaimamani na Samia" ni kweli wanampenda?

Midume hii ya ccm kweli itakubali 2025 huyu mama asimame kama mgombea urais ndani ya chama chao?

Mama akiweza kuvuka figisu, uhuni, unafiki na uzandiki unaofanywa na midume hii ya bara atastahili tuzo ya Nobel.
Kama kaamua kusimama hiyo 2025. Hakuna wa kumzuia
 
Mama akiweza kuvuka figisu, uhuni, unafiki na uzandiki unaofanywa na midume hii ya bara atastahili tuzo ya Nobel
Mama anaiwakilisha Afroshirazi asiwaogope hao wanaTanu hata kidogo ajifunge kibwebwe ili wakileta za kuleta wagawane mbao ili nae ajirudie Nungwi kuimba Kaswida.
 
Mama Samia amejengwa na utamaduni wa wazanzibari wa "muhali". Huku bara hakuna kitu kama hicho.

Jitu likikuamulia kila uchwao linaongeza mbinu za kukuangamiza. Kingine ni kwamba mijitu ya huku bara inaweza kuwa inakuchekea usoni lkn moyoni ina chuki ya kukuua

Mama amejiandaa kwa yote haya? Anadhani wale wote waliokuwa wanasimama juzi pale ikulu na kuimba "tunaimamani na Samia" ni kweli wanampenda?

Midume hii ya ccm kweli itakubali 2025 huyu mama asimame kama mgombea urais ndani ya chama chao?

Mama akiweza kuvuka figisu, uhuni, unafiki na uzandiki unaofanywa na midume hii ya bara atastahili tuzo ya Nobel.
Midume ya Bara iliyoko CCM imejaa uchu wa madaraka tu wanaweza kukufanya lolote ili wapate wanachotaka
 
Mama Samia amejengwa na utamaduni wa wazanzibari wa "muhali". Huku bara hakuna kitu kama hicho.

Jitu likikuamulia kila uchwao linaongeza mbinu za kukuangamiza. Kingine ni kwamba mijitu ya huku bara inaweza kuwa inakuchekea usoni lkn moyoni ina chuki ya kukuua

Mama amejiandaa kwa yote haya? Anadhani wale wote waliokuwa wanasimama juzi pale ikulu na kuimba "tunaimamani na Samia" ni kweli wanampenda?

Midume hii ya ccm kweli itakubali 2025 huyu mama asimame kama mgombea urais ndani ya chama chao?

Mama akiweza kuvuka figisu, uhuni, unafiki na uzandiki unaofanywa na midume hii ya bara atastahili tuzo ya Nobel.
Mama anapasua vizuri sana

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom