Mama Samia amejengwa na utamaduni wa wazanzibari wa "muhali". Huku bara hakuna kitu kama hicho.
Jitu likikuamulia kila uchwao linaongeza mbinu za kukuangamiza. Kingine ni kwamba mijitu ya huku bara inaweza kuwa inakuchekea usoni lkn moyoni ina chuki ya kukuua
Mama amejiandaa kwa yote haya? Anadhani wale wote waliokuwa wanasimama juzi pale ikulu na kuimba "tunaimamani na Samia" ni kweli wanampenda?
Midume hii ya ccm kweli itakubali 2025 huyu mama asimame kama mgombea urais ndani ya chama chao?
Mama akiweza kuvuka figisu, uhuni, unafiki na uzandiki unaofanywa na midume hii ya bara atastahili tuzo ya Nobel.
šššššMidume yote ile kupigwa mkwara na bibi kizee ni dalili mbaya, saivi bibi anamheshimu mme wake tu bara na visiwani.
Waliingiza kidole kwenye mdomo wa chura kuangalia kama ana menošškilichofuata nisamehe mimi nimekoma mimi sirudii mimi,Mungu nisaidie!!
Yaani wangemuweka kwenye bomba wamning'inize kama popo bila nguo kwenye terevisheni ya taifa waunganishe na itv,azam TV siku mzima tumuangalieYeye mwenyewe muhuni tuu wacha na wenyewe wamfanyie undava, .......undava undava
Kama kaamua kusimama hiyo 2025. Hakuna wa kumzuiaMama Samia amejengwa na utamaduni wa wazanzibari wa "muhali". Huku bara hakuna kitu kama hicho.
Jitu likikuamulia kila uchwao linaongeza mbinu za kukuangamiza. Kingine ni kwamba mijitu ya huku bara inaweza kuwa inakuchekea usoni lkn moyoni ina chuki ya kukuua
Mama amejiandaa kwa yote haya? Anadhani wale wote waliokuwa wanasimama juzi pale ikulu na kuimba "tunaimamani na Samia" ni kweli wanampenda?
Midume hii ya ccm kweli itakubali 2025 huyu mama asimame kama mgombea urais ndani ya chama chao?
Mama akiweza kuvuka figisu, uhuni, unafiki na uzandiki unaofanywa na midume hii ya bara atastahili tuzo ya Nobel.
Akiamua,anaendelea bila shida.Cha msingi amalize muhula wake aondoke
Mama anaiwakilisha Afroshirazi asiwaogope hao wanaTanu hata kidogo ajifunge kibwebwe ili wakileta za kuleta wagawane mbao ili nae ajirudie Nungwi kuimba Kaswida.Mama akiweza kuvuka figisu, uhuni, unafiki na uzandiki unaofanywa na midume hii ya bara atastahili tuzo ya Nobel
Hapana,Mama ni mama,Baba ni baba lakini pia Rais ni Rais. Hao watatu wapo tofauti.Mambo yamebadilika daah akina mama wako juu ya akina baba
Midume ya Bara iliyoko CCM imejaa uchu wa madaraka tu wanaweza kukufanya lolote ili wapate wanachotakaMama Samia amejengwa na utamaduni wa wazanzibari wa "muhali". Huku bara hakuna kitu kama hicho.
Jitu likikuamulia kila uchwao linaongeza mbinu za kukuangamiza. Kingine ni kwamba mijitu ya huku bara inaweza kuwa inakuchekea usoni lkn moyoni ina chuki ya kukuua
Mama amejiandaa kwa yote haya? Anadhani wale wote waliokuwa wanasimama juzi pale ikulu na kuimba "tunaimamani na Samia" ni kweli wanampenda?
Midume hii ya ccm kweli itakubali 2025 huyu mama asimame kama mgombea urais ndani ya chama chao?
Mama akiweza kuvuka figisu, uhuni, unafiki na uzandiki unaofanywa na midume hii ya bara atastahili tuzo ya Nobel.
Hata kuapishwa kwake kulikuwa "tough situation" lakini ndio hivyo aliapishwa.Kupita anaweza pita but ategemee tough situation ever
Mama anapasua vizuri sanaMama Samia amejengwa na utamaduni wa wazanzibari wa "muhali". Huku bara hakuna kitu kama hicho.
Jitu likikuamulia kila uchwao linaongeza mbinu za kukuangamiza. Kingine ni kwamba mijitu ya huku bara inaweza kuwa inakuchekea usoni lkn moyoni ina chuki ya kukuua
Mama amejiandaa kwa yote haya? Anadhani wale wote waliokuwa wanasimama juzi pale ikulu na kuimba "tunaimamani na Samia" ni kweli wanampenda?
Midume hii ya ccm kweli itakubali 2025 huyu mama asimame kama mgombea urais ndani ya chama chao?
Mama akiweza kuvuka figisu, uhuni, unafiki na uzandiki unaofanywa na midume hii ya bara atastahili tuzo ya Nobel.