Mama Ndie Amesababisha Dreamliner Kuingiza Hasara ya Billionii 23.6

Mama Ndie Amesababisha Dreamliner Kuingiza Hasara ya Billionii 23.6

Mwalimu ali-overlook, ilitakiwa wakati wa kughatuka kwake angekuwekea mazingira mazuri kabisa ya ujio wa katiba mpya - Sasa haya katuachia ni mateso makubwa - jamaa hawataki kabisa kusikia neno Katiba Mpya.

Kwa sasa hivi wanajipanga kwa 2025 kwa kutupatia Tume feki ya uchaguzi ambayo kwa nje itaonekana walau inatia moyo ila kwa ndani madudu ni yale yale.

Watanzania bado tuna safari ndefu mno, cha kushukuru Mungu tu ni kwamba tumepewa uvumilivu mkubwa mno.
Sio uvumilivu mkuu , mwalimu alitunyima elimu, hii ya kukumbatia kiswahili ndo imetuweka kwenye corridor mbaya sana .
Tungekuea tunaelewa lugha mijadala ya watu wa nje ingetusaidia ,
Leo hii media zote kubwa Cnn. Bbc Al-Jazeera , sky news zinaongelea mambo muhimu ila kwa watanzania hadi tutafsiriwe na mukandala
 
This is obvious,
Angalau tushukuru hizo nyingine zimeanza kuleta faida, Maana hii biashara ni kichaa
 
Habari za mda huu wadau.
Kutokana na report ya CAG wakati ndege zingine zikitengeneza faida Dreamliner zetu zimeliingizia hasara ya Billion 23.6 shirika la ATCL.

Sote tunajua ni kwanini hizi ndege mbili zimiingiza hasara hivyo Kichele usitudanganye sema tu ukweli kuwa ni safari za Chief H zisizo na kichwa wala miguu.

Toka awamu ya 6 uingie madarakani site tumeona hizi ndege zikitumika ovyo.

Wana mapambio karibuni kupinga hili

Source Air Tanzania's two Dreamliner aircraft record Sh23.6 billion loss
Swali la msingi je alipo kuwepo Magufuli zilii ingiza faida?
 
Habari za mda huu wadau.
Kutokana na report ya CAG wakati ndege zingine zikitengeneza faida Dreamliner zetu zimeliingizia hasara ya Billion 23.6 shirika la ATCL.

Sote tunajua ni kwanini hizi ndege mbili zimiingiza hasara hivyo Kichele usitudanganye sema tu ukweli kuwa ni safari za Chief H zisizo na kichwa wala miguu.

Toka awamu ya 6 uingie madarakani site tumeona hizi ndege zikitumika ovyo.

Wana mapambio karibuni kupinga hili

Source Air Tanzania's two Dreamliner aircraft record Sh23.6 billion loss
Sukuma gang sababu iliyotolewa na kichele ni hii, "However, CAG Kichere said poor performance of Boeing was due to low number of passengers and cargo, but also fewer routes than the targeted number.
“Most of routes planned in 2020/21 were cancelled due to low number of passengers that was caused by the outbreak of the Covid-19 pandemic,” CAG Kichere told reporters in Dodoma."wewe hayo ya mama umeyatoa wapi kama sio chuki...Hata leo naamini ukipita pale JNIA utaona mojawapo imepaki labda kama zimeondolewa sasa hivi.
 
Mkuu dreamliner pekee imeingiza hasara ya 23 billions ,haimaanishi kuwa bombardier zinaingiza faida
Report ya Cag mwaka jana , Atcl yote kwa ujumla ilikuwa na hasara kwa miaka mitatu mfululizo kama sikosei, hii maana yake hata kama assumption ni bombardier zina faida , basi faida hiyo itamezwa na dreamliner

Halafu utamu wa biashara ni faida , Atcl haikuwa na plan nzuri ni swala la muda tu
Nimekuwekea chanzo cha habari, soma tafadhali; CAG ndio kasema sio mimi; na kaweka Faida kila ndege ilizotengeneza. Kama lugha haipandi sema kuna wadau humu watakusaidia.

Alafu pia hikinkinachozungumzwa hapa ni ni mambo ya Mwaka 21 to 22
 
nakukosoa si awamu ya6 bali awamu ya5 rais wa6.
nakumbusha hata wakati wa marehemu zilileta hasara je alikuwa anasafiri?
Buy ndio ujinga uliptujaa watanzania.
Kwa akili kama zako hizi tunasafari ndefu sana
 
Hii ni hoja pia
Ila waliotengenzea hilo dude 787 wanasema ili upate faida lazima walau likae masaa 13 angani kila siku linayofanya biashara , Ukienda kinyume na hilo hakuna namna unaeza pata faida ,

Hij ni wide body designed plane ambayo metal fatigue yake ni kubwa , na hivyo kufanya take off langing cyle yake, kuwa very limited kabla halijakuwa scraped, these shorts routes zitaifanya hizo ndege zipoteze airworthiness , zikwa zingali mpya kabisa.
Kwahiyo huwezi kuona kunitumia kwa route hizo tahwa ni ujinga wa kiwango cha rami?
 
Nimekuwekea chanzo cha habari, soma tafadhali; CAG ndio kasema sio mimi; na kaweka Faida kila ndege ilizotengeneza. Kama lugha haipandi sema kuna wadau humu watakusaidia.

Alafu pia hikinkinachozungumzwa hapa ni ni mambo ya Mwaka 21 to 22
Hatubishani lengo ni kuelimishana tu , ikifikia mahala tunaanza kukwaruzana binafsi siwezi endelea . Ripoti ya mwaka jana ninkuwa Atcl imepata hasara kwa miaka mitatu mfululizo

Haihitaji elimu ya degree kumuelewa Cag, Atcl is making losses.mimi ni mdau wa usafiri wa Atcl , hata kwenye bombardier naweza forecast kuwa hawawezi kupata faida, system ya on-line booking tu kwa mfano ina makosa kibao , ive lost number of counts where system inasema 1 last seats kweny booking , unabahatisha seat then muda wa safari unakuta dege lipo half empy.
 
Sukuma gang sababu iliyotolewa na kichele ni hii, "However, CAG Kichere said poor performance of Boeing was due to low number of passengers and cargo, but also fewer routes than the targeted number.
“Most of routes planned in 2020/21 were cancelled due to low number of passengers that was caused by the outbreak of the Covid-19 pandemic,” CAG Kichere told reporters in Dodoma."wewe hayo ya mama umeyatoa wapi kama sio chuki...Hata leo naamini ukipita pale JNIA utaona mojawapo imepaki labda kama zimeondolewa sasa hivi.
Kwa hiyo unamwamini Kichele?
Sasa kwa Taarifa ya wakati mnatoa sababu za kijinginga kumbuka majirani zetu Uganda wana airbus mbili tu lakini waliweza kupata vibali vya kuruka kwenda Dubai na London, wakati huo ndio Covid imepamba moto.

Hivi mnataka kujifanya kuwa hamkusikia watu wakilalamoka hizi ndege kutumika na mtajwa mpaka kutokea cancellation ya route za abiria kwa shirika?

Si kila mpinga tiny mdosa ni Sukuma Gang dogo.
 
Nashauri tuzipige mnada hizo ndege mbili Dreamliner ili tununue meli kubwa ya kubeba mafuta.... meli hii kubwa tuikabidhi kwa TPDC ili tuwe na uhakika wa kupata mafuta ya uhakika na kwa bei nafuu.
Kwani serikali imeishiwa pesa za kununulia hizo meli.
 
Two Boeing 787-8 Dreamliner aircraft resulted into a loss of Sh23.6 billion despite Air Tanzania cutting its losses from Sh60.2 billion to Sh36.5 billion in 2020-2021, the Controller and Auditor General (CAG) report reveals.
 
Sio uvumilivu mkuu , mwalimu alitunyima elimu, hii ya kukumbatia kiswahili ndo imetuweka kwenye corridor mbaya sana .
Tungekuea tunaelewa lugha mijadala ya watu wa nje ingetusaidia ,
Leo hii media zote kubwa Cnn. Bbc Al-Jazeera , sky news zinaongelea mambo muhimu ila kwa watanzania hadi tutafsiriwe na mukandala
Aisee
Screenshot_20220326-013126.jpg
 
Nashauri tuzipige mnada hizo ndege mbili Dreamliner ili tununue meli kubwa ya kubeba mafuta.... meli hii kubwa tuikabidhi kwa TPDC ili tuwe na uhakika wa kupata mafuta ya uhakika na kwa bei nafuu.
Dah! Yaani Kama Vile Umenunu IST yako Unataka Ubadilishe Ununue Kluger.
 
Back
Top Bottom