Yuda Legacy
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 778
- 2,764
SHIKILIA HAPO HAPO MKUU UKIKUWA UTAELEWA [emoji16][emoji16]Pole sana mkuu.
Nasubir takwimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SHIKILIA HAPO HAPO MKUU UKIKUWA UTAELEWA [emoji16][emoji16]Pole sana mkuu.
Nasubir takwimu
Hongera mkuu kama baba yako alikupatia mapenzi ambayo mtoto anapaswa kuyapata.SHIKILIA HAPO HAPO MKUU UKIKUWA UTAELEWA [emoji16][emoji16]
HAPANA MKUU WEWE SHIKILIA TU HAPO HAPO.[emoji3][emoji3][emoji16]Hongera mkuu kama baba yako alikupatia mapenzi ambayo mtoto anapaswa kuyapata.
Tumekulia kwenye vipigo ila tulishasamehe.
Pole sana kama na ww una matatizo uliyopitia
Kila mtu na maisha aliyopitia. Mimi naenda na wote, wana nguvu sawa kwenye kutoa laana. Ila zile nyimbo za nani kama mama nimeacha kuimba nilivyojitambua. Wanaume tuna kazi kubwa sana.Aisee! Hii ndio naisikia leo kwako, Mimi ninachokijua ni kwamba mama ana laana Kali sana kuliko baba
Usiseme sisi, we jihesabu wewe. Alafu elewa kuna wanaume kutelekeza familia na wanaume kutelekeza watoto. Kama unazungumzia wanaume kutelekeza familia, hata wanawake wapo wanaowaacha mume na watoto wanaenda kwingine. Ila kama Baba analea mtoto peke yake basi ni nadra sana Baba kumtelekeza huyo mtoto asiye na MamaKatika wanawake 100 utapata mmoja aliyetupa mtoto.
Sisi wanaume ni kawaida kutelekeza watoto hilo linajulikana labda tu ulete ubishi
Uhalisia hiyoNi kanuni yako mkuu uliyojiwekea au ndio uhalisia?
Yupo wapi huyo mkuu?Usiseme sisi, we jihesabu wewe. Alafu elewa kuna wanaume kutelekeza familia na wanaume kutelekeza watoto. Kama unazungumzia wanaume kutelekeza familia, hata wanawake wapo wanaowaacha mume na watoto wanaenda kwingine. Ila kama Baba analea mtoto peke yake basi ni nadra sana Baba kumtelekeza huyo mtoto asiye na Mama
Nafikiri hiyo ni kanuni yake hakuna uhalisia wa hivyo sisi katika mafunzo ya kiimani kati ya baba na mama ni yupi apewe kipaumbele jibu lilikuja Mama ikaulizwa tena baada ya mama jibu likaja tena Mama ×3 jibu likaja tena Mama halafu ndio akaja BabaNi kanuni yako mkuu uliyojiwekea au ndio uhalisia?
Hii ni kuonyesha umuhimu wa mamaNafikiri hiyo ni kanuni yake hakuna uhalisia wa hivyo sisi katika mafunzo ya kiimani kati ya baba na mama ni yupi apewe kipaumbele jibu lilikuja Mama ikaulizwa tena baada ya mama jibu likaja tena Mama ×3 jibu likaja tena Mama halafu ndio akaja Baba
Tunakula kona tunarudi mtt akifikia umri wa kunyolewa kidukuKatika wanawake 100 utapata mmoja aliyetupa mtoto.
Sisi wanaume ni kawaida kutelekeza watoto hilo linajulikana labda tu ulete ubishi
Kwa kweli.Tunakula kona tunarudi mtt akifikia umri wa kunyolewa kiduku
Na hapo ndio unaongezeka ubora wa mamaKwa kweli.
Sishangai kwanini wakina ommy dimpoz, diamond hawana kabisa muda na wazee, wanaume mara nyingi hatujali, tunamuacha mwanamke akiwa katika hali ngumu anaanza kupambana mapaka mtoto anakuwa baadae kwenye matunda anaanza kujirudisha