Toka uhamie Abbottabad siku hizi hata salamu hutoi? Mzima wewe?Ujue hatujamalizana na wewe. Nitakujaje mipango hujakamilisha si unajua nauli ya kutoka Imbolu mpaka karatu sasa ni 10,000 na karatu arusha 15,000 arusha dar 35,000 tuma hiyo nauli bana nije na hamu ya kufika dar
Keren kuna mtu kaiba password yako? Maana uliniambia umekosa kile kivazi nikipendacho so hutakwenda tena ikabidi niwe pembeni ya AfroDenzi kumbadilisha nepi katoto TF.
Akaanza kujitetea taratibuKeren kuna mtu kaiba password yako? Maana uliniambia umekosa kile kivazi nikipendacho so hutakwenda tena ikabidi niwe pembeni ya AfroDenzi kumbadilisha nepi katoto TF.
Mara akageuka akawa kama Spika wa BungeWakubwa wakizungumza we unatakiwa uwe unacheza nje umesikia mtoto mzuri eh?. kwanza uji umekunywa?
Halafu hebu angalia Kimey inawezekana alikuja na pick up baadhi ya kreti hazipo sizioni na zilikuwa hazijaguswa kabisaDaahhh
Labda kaidondosha bahati mbay a
maana alikuwa busy na yale makreti yenye maji ya baraka...
Umemuona Kimey ananirudisha kwenye 13Hahahshhah
eti katoto TF
Kimey wewe hahaaa acha kunichekesha
..dahhhh
Unajua sisUjue hatujamalizana na wewe. Nitakujaje mipango hujakamilisha si unajua nauli ya kutoka Imbolu mpaka karatu sasa ni 10,000 na karatu arusha 15,000 arusha dar 35,000 tuma hiyo nauli bana nije na hamu ya kufika dar
Hahahah lolAkaanza kujitetea taratibu
Mara akageuka akawa kama Spika wa Bunge
Halafu hebu angalia Kimey inawezekana alikuja na pick up baadhi ya kreti hazipo sizioni na zilikuwa hazijaguswa kabisa
Umemuona Kimey ananirudisha kwenye 13
Unajua sis
we tatizo lako unataka kupanda
dar Express ili uangalie TV kwenye basi..
Panda mabasi ya MTEI bei rahisi..ntakulipia kama ni mtei. .. maana mi mwenye nimefukuzwa kazi....mmmhhh
Kwanza kabisa pole sana dearAksante Afrodenzi kwa kutukumbusha siku muhimu kama ya leo kuhusu mama.
Kweli mama ni wa muhimu,mimi nilipata ajali mbaya sana nikiwa mdogo wa umri wa miezi kumi,pamoja na ushirikiano wa baba,ila mama ndiye aliyekuwa na mimi pale Mount Meru Hospital,huwa akinielezea jinsi alivyopita katika kipindi kigumu cha malezi yangu,na ambavyo ndiyo ni mtoto wake wa kwanza moyo wangu huzidi kumpenda.
hata inapotokea watu kunikejeli jinsi nilivyo,nikaugua rohoni nikienda kwake maneno yake hunipa faraja nakuendelea kumuona ni mshindi kwani kwa mateso aliyopata hakushindwa kukata tamaa,bali alizidi kuwa pamoja nami.
na kwasasa mimi ni mama,upendo kwa mama umeendelea kukua zaidi na zaidi.
Namshukuru Mungu sana kwa ajili ya mama yangu, na aendelee kuwapa ulinzi na moyo wa uvumilivu,upendo wamama woote,na wanaotarajia kuwa mama.
HahahahahahahahHa ha ha Mtei tena jamani mbona nitateseka sana ujue lakini sawa tu kwasababu nataka kufika dar maana sijawahi kufika huko nitumie tu nauli ila sasa bei yake siijui kwa sasa ngoja nitauliza nitakupa jumla yake ni ngapi
Uliyosema ni tosha kabisa dear
Asante maua mazuri..[/QUOTE]
Thanks Dear
Dah hapo kwenye red umenikumbusha chekechea.
Hahaha lol Husninyo wewe
upo kipande gani dear mtarajiwa,tayari mama
au ndo mpaka kieleweke...
4 years of age-My mummy can do anything
8 years of age-My mum knows a lot
12years of age-My mother doesn't know every thing
14years of age-My mother? She wouldn't have a clue
16years of age-Mum?She's so five minutes ago.
18years of age-That old women? She's way out of date
25years of age-Well, She might know a little bit about it!
35years of age-Before we decide, let's get mum's opinion
45years of age-Wonder what mum would have thought about it?
65years of age-Wish I could talk it over with mum.
The beauty of women with passing years only grows..
HAPPY MOTHERS DAY TO ALL THE MOTHERS IN JAMII FORUM ON SUNDAY(MAY 9TH)
Uliyosema ni tosha kabisa dear
Asante maua mazuri..[/QUOTE]
Thanks Dear
Dah hapo kwenye red umenikumbusha chekechea.
Maauuwaa mazuriii yapendezaaaa
Ukiii yaaataazaamaaa , yaaanaa meereemeeta
Maaaauuuwaa, mazuuriii,yaapendeezaaaa
Hahahahahahahah lol
my dear kila nikiona jina lako
Huu wimbo hunijia kichwani..
BJ' hakuna kama mama!To you too darling..I am proud to be a woman, respect to all mothers and JF ladies!..
Nani kama mama!!