Mama ntilie Tanzania wachafu; wa Rwanda wana usafi wa hali ya juu

Mama ntilie Tanzania wachafu; wa Rwanda wana usafi wa hali ya juu

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Hivi mabibi afya na mabwana afya nchi hii wapo kweli?

Ripoti ya wafaransa imeeleza Kwa kina mama ntilie Tanzania ni wachafu kuanzia kutooga, vyombo hawaoshi vizuri na ripoti imesema mama ntilie Tanzania ni sawa na mazingira ya kulelea watoto, yaani kwenye mama ntilie 10 basi saba huenda na watoto wadogo.

Rwanda kinara, imeonekana mama ntilie Rwanda wana usafi wa hali ya juu kuanzia mazingira hadi wao wenyewe, na wamepongezwa sana. Hivo tukaze buti ili mwaka mwingine walau tuongoze
 
Wanyaruanda tunao uku kwetu ata wanavyo andaa maziwa yao tangu ukamuaji,vigaa vya kutunzia, mpaka mtindi kila kitu kipo safi. Uwezi kukuta maziwa ya mnyaruanda ameyawekea maji kamwe ila wabongo sasa.
Ripoti imewasifu kuanzia nyakarambi, kirehe, rwamagana, kayonza, chigali, nyabugogo, remera, gisenyi, kote wameonekana wasafi
 
Wanyaruanda tunao uku kwetu ata wanavyo andaa maziwa yao tangu ukamuaji,vigaa vya kutunzia, mpaka mtindi kila kitu kipo safi. Uwezi kukuta maziwa ya mnyaruanda ameyawekea maji kamwe ila wabongo sasa.
Sio hivo tu maziwa mgando ya Rwanda huitwa chivuguto wao hugandisha, baada ya kuchemsha na maziwa mgando ya Rwanda na Uganda hutopata sehemu yoyote Tanzania
 
Ovyo kabisa,hata hapo kigali City Market wako wasafi

Ova
Halafu kweli hata mtu wa chini kwenye vijiji vyao ni msafi, unajua ilianzishwa sheria mwanamke ukizaa, ulee mtoto kwanza akiweza kubaki nyumbani ndio uanze kwenda kuuza chakula hasa Tanzania mama ntilie wengi wanaenda na watoto, watoto wanakunya, hapo hapo, wakiwatawaza hawanawi mikono na sabuni, wanakuja kushika vyakula aibu sana, vyombo wanaoshea maji machafu, wenzao wanaoshea maji ya moto na chakula cha mama ntilie Rwanda ni cha moto muda wote rudi upande wa pili aibu tupu
 
Back
Top Bottom