econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kwenye usafi Rwanda ipo Ligi Kuu na Tanzania ipo Ligi daraja la tatu. Nina ushahidi kuhusu Hilo.ni kweli. ila rwanda ina safari ndefu bado kujiweka ligi moja na tz. wasubiri kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye usafi Rwanda ipo Ligi Kuu na Tanzania ipo Ligi daraja la tatu. Nina ushahidi kuhusu Hilo.ni kweli. ila rwanda ina safari ndefu bado kujiweka ligi moja na tz. wasubiri kwanza.
Huwezi changia mada bila matusi na lugha isiyopendeza?!Rwanda hakuna Wapumbavu na Wachafu kama huko Kwingineko Mkuu Mtani wangu.
Huku kwetu sasa ni shida, unakuta mama ntilie na mtoto wake mdogo anayetambaa. Mtoto akijisaidia anaenda kumsafisha bila umakini wowote na anaendelea kuhudumia wateja bila ya kunawa mikono kwa usahihi. Maji wanayooshea vyombo ukifanikiwa kuyaona unaweza ukaahirisha kula, alafu vyombo vyenyewe hawaoshi wanachovywa tu kwenye maji na kusevia vyakula.Rwanda hakuna Wapumbavu na Wachafu kama huko Kwingineko Mkuu Mtani wangu.
usafi wa wapi? wa kigali mitaa michache ya katikati tu? au rwanda mikoa yote? hata bongo ukienda oysterbay, masaki na baadhi ya maeneo, ni kama ulaya tu hata nchi hakuna, ila ukija manzese ndio utaona hilo. kuna maeneo Nairobi hayafai kuitwa africa kabisa, ila maeneo mengine ndio hivyo tena kwa waswahili. ukitaja rwanda, sema rwanda, na ukitaja Kigali sema kigali.Kwenye usafi Rwanda ipo Ligi Kuu na Tanzania ipo Ligi daraja la tatu. Nina ushahidi kuhusu Hilo.
Halafu anapokatia katia nyama mbichi kabla ya kuchoma, ndipo tena anaweka nyama iliyokwisha chomwa kabla ya kukusevia. Mwingine anapokea pesa na kurudisha chenji halafu anaendelea kukuhudumia bila ya kunawa mikono.Nyama za kukaanga anashika tu na mikono anaweka kwenye bakuli. Nikasema ehee.mtu hanawiii.Hapana
Sasa hivi nanunua mchele wangu nusu na robo napika asubuhi nakula mpaka usiku.
Hao Wafaransa wamepoteza muda na rasilimali kufanya huo utafiti. Wangeuniuliza ningewapa majibu sahihi.Hivi mabibi afya na mabwana afya nchi hii wapo kweli?
Ripoti ya wafaransa imeeleza Kwa kina mama ntilie Tanzania ni wachafu kuanzia kutooga, vyombo hawaoshi vizuri na ripoti imesema mama ntilie Tanzania ni sawa na mazingira ya kulelea watoto, yaani kwenye mama ntilie 10 basi saba huenda na watoto wadogo,
Rwanda kinara, imeonekana mama ntilie Rwanda wana usafi wa hali ya juu kuanzia mazingira hadi wao wenyewe, na wamepongezwa sana.
Hivo tukaze buti ili mwaka mwingine walau tuongoze
mwingine zile tissue za kufutia glass kwenye glossery huwa wanazikata mara mbili. Ila sasa anazimwaga zote kwenye mapaja (sketi) yake then anakuwa anakata na kuziweka kwenye glass tayari kwa kuhudumia wateja. Toothpick zikimwagika chini kwa bahati mbaya wanazizoa na kuzitumia tena kwa kuwapa wateja.Ila wabongo ustaarabu Ziro kabisa. Mtu anapuliza mfukoni anakuwekea vitafunwa na Wala haoni shida.
Wala sipingi,wana mengi hao wala hawajaonewaHalafu anapokatia katia nyama mbichi kabla ya kuchoma, ndipo tena anaweka nyama iliyokwisha chomwa kabla ya kukusevia. Mwingine anapokea pesa na kurudisha chenji halafu anaendelea kukuhudumia bila ya kunawa mikono.
Hata migahawa na Hotel nyingi za level ya kati bongo usafi bado ni changamoto kubwa sana.Acha kula kwa mamantilie, sisi tunakula tukiwa na punguzo la bei mpaka 60%
I would like to know more of “watu hawana dini”.Si hivyo tu. Utaenda kwa mama ntilie au muuza chipsi,utaona jinsi anavyojitahidi kufanya jambo subtle kuchafua chakula chako .
Yaani inabidi umuangalie kwa makini kama unavymwangalia yule mchezeshaji kamari ya karata tatu.
Yaani you have to beware of sleight of hand.
Watu hawana dini!
Ya Tanzania yanaweza kupatikana huko kwao?Sio hivo tu maziwa mgando ya Rwanda huitwa chivuguto wao hugandisha, baada ya kuchemsha na maziwa mgando ya Rwanda na Uganda hutopata sehemu yoyote Tanzania
Hivi mabibi afya na mabwana afya nchi hii wapo kweli?
Ripoti ya wafaransa imeeleza Kwa kina mama ntilie Tanzania ni wachafu kuanzia kutooga, vyombo hawaoshi vizuri na ripoti imesema mama ntilie Tanzania ni sawa na mazingira ya kulelea watoto, yaani kwenye mama ntilie 10 basi saba huenda na watoto wadogo.
Rwanda kinara, imeonekana mama ntilie Rwanda wana usafi wa hali ya juu kuanzia mazingira hadi wao wenyewe, na wamepongezwa sana. Hivo tukaze buti ili mwaka mwingine walau tuongoze
Nilidhani kama umeenda huko Rwanda ukayashuhudia hayo kumbe umeona ripoti Tu? Shame on youHivi mabibi afya na mabwana afya nchi hii wapo kweli?
Ripoti ya wafaransa imeeleza Kwa kina mama ntilie Tanzania ni wachafu kuanzia kutooga, vyombo hawaoshi vizuri na ripoti imesema mama ntilie Tanzania ni sawa na mazingira ya kulelea watoto, yaani kwenye mama ntilie 10 basi saba huenda na watoto wadogo.
Rwanda kinara, imeonekana mama ntilie Rwanda wana usafi wa hali ya juu kuanzia mazingira hadi wao wenyewe, na wamepongezwa sana. Hivo tukaze buti ili mwaka mwingine walau tuongoze
Ila bora hawajazungumzia vyoo! Mbona tungeumbuka zaidi🥺Ukienda hapo kabeza market kusafi sana
Sasa njoo sokoni kwangu mtambani kinondoni kuchafu
Ova
Haina shida kama inawasaidia kiafya!Si nasikia wanakulaga paka hao? Wew uko geita au?
Vyoo ndiyo balaa zaidi.Ndio maana ulikimbilia nje ya mji, masoko yetu ni madambo yaliyohai kabisa, na wasimamizi wapo na ushuru wanakusanya