Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au kupenga kamasi bila kitambaa na kisha unyevunyevu wa kamasi kwenye mikono huufuta kwa kutumia nguo aliyoivaa.Huku anajichokonoa pua
Ova
Una ushuhuda😂?Wanyaru ni wasafi almost kila sehemu
......almost kila sehemu😋😋
Kwamba ukiwa msafi unaonekana bishoo! Inawezekana sehemu ya kuratibu usafi na order kwenye bongo zetu ina glitch.Hii nchi kinyume chake, ukiwa msafi sana watu around wanakuzodoa.
Wazazi hatufanyi kazi yetu ya malezi vizuri, kundi kubwa sana la watu ni wachafu, tatizo ninini?
Na WaTz sio wachafu wa mwili tu hata maadili, wachafu sana, tumejaaliwa tu kuongea taratibu, ukiongea taratibu utasikia fulani mstaarabu 😅😅😅
Acha kabisa hawa watoto wa paulo wana pepo yaoUna ushuhuda😂?
Sawasawa kabisa Yoda .Kwamba ukiwa msafi unaonekana bishoo! Inawezekana sehemu ya kuratibu usafi na order kwenye bongo zetu ina glitch.
Kuna hii mentality ya ukimuelekeza mtu kuhusu usafi unaonekana unajiskia/umesoma sanaKwamba ukiwa msafi unaonekana bishoo! Inawezekana sehemu ya kuratibu usafi na order kwenye bongo zetu ina glitch.
HahahahaAcha kabisa hawa watoto wa paulo wana pepo yao
Mwezi niliuona kama wiki
Mkuu Genta bana Lunda..Rwanda hakuna Wapumbavu na Wachafu kama huko Kwingineko Mkuu Mtani wangu.
Katika mama ntilie 10 uliowahi kula chakula kwao wangapi walikuwa na kiwango cha usafi cha kuridhisha??Wafaransa ni nani katika nchi yetu yaani mgeni atupatie tathimini ya nchi yetu Tanzania ni kubwa sana kuliko Rwanda wakifika machame wakaona maziwa ya Nronga yalivyomazuri na uandalizi wake
Ukweli USEMWE ..Mama ntilie wengi wa bongo Yale maji yakusuuzia huwa hayana tofauti na Yale ya kuoshea
Maji ya kusuuzia vyombo yanatakiwa kuwa masafi na ya moto sana ili kuua bacteria
Hayo yashafanikutaKuna hii mentality ya ukimuelekeza mtu kuhusu usafi unaonekana unajiskia/umesoma sana
Paka?Haina shida kama inawasaidia kiafya!
Rwanda hakuna Wapumbavu na Wachafu kama huko Kwingineko Mkuu Mtani wangu.