Mama ntilie Tanzania wachafu; wa Rwanda wana usafi wa hali ya juu

Mama ntilie Tanzania wachafu; wa Rwanda wana usafi wa hali ya juu

Hii nchi kinyume chake, ukiwa msafi sana watu around wanakuzodoa.

Wazazi hatufanyi kazi yetu ya malezi vizuri, kundi kubwa sana la watu ni wachafu, tatizo ninini?

Na WaTz sio wachafu wa mwili tu hata maadili, wachafu sana, tumejaaliwa tu kuongea taratibu, ukiongea taratibu utasikia fulani mstaarabu 😅😅😅
Kwamba ukiwa msafi unaonekana bishoo! Inawezekana sehemu ya kuratibu usafi na order kwenye bongo zetu ina glitch.
 
Wafaransa ni nani katika nchi yetu yaani mgeni atupatie tathimini ya nchi yetu Tanzania ni kubwa sana kuliko Rwanda wakifika machame wakaona maziwa ya Nronga yalivyomazuri na uandalizi wake
 
Rwanda hakuna Wapumbavu na Wachafu kama huko Kwingineko Mkuu Mtani wangu.
1000045960.jpg
 
Back
Top Bottom