Mama ntilie Tanzania wachafu; wa Rwanda wana usafi wa hali ya juu

Mama ntilie Tanzania wachafu; wa Rwanda wana usafi wa hali ya juu

ni kweli. ila rwanda ina safari ndefu bado kujiweka ligi moja na tz. wasubiri kwanza.
Duh mzee wako angekojolea nje tu kwasababu wewe ni hasara,,kwasababu wewe unaamini kila kitu kizuri kipo Tanzania tu .. hii hali inatokana na kichwani mwako hamupo sawa hebu fikiria mtu kama wewe unamuita Yesu ni mungu si utahira huo?
 
Kuna siku nimeenda mgahawa mmoja ,kugusa marage yana mende ,nikamuita boss nikamwambia akayabadili ,akaniangalia kwa hasiria alivoyagusa mwenyewe akaona mende akayachukua taratibu akaenda kuyabadili , na mgahawa ulikuwa umejaa sikutaka kupiga kelele kuwa marage yana mende ningeleta mtafaruku pale , na wengine huenda wangetumia ule mwanya kutokulipia chakula walichokula,,nikanyamaza na boss akanyamaza likapita , wakati wa malipo nikampata Tsh 5,000 akate Tsh 3,500 ya chakula akakata Tsh 2,000 tu sikujua kwanini alifanya hivyo kwa kweli

Kiukweli mazingira ya Tanzania ya sehemu nyingi ambazo vyakula huuzwa ni machafu kiujulma , ukitazama kama usafi wa vijiko ni sifuri kabisa , kijiko kikishaoshwa kitakiwa kikae kwenye maji ya moto jikoni tu ,lakin hivi vya sehemu nyingi kinatumbukizwa kwenye maji unapewa tu.. So sad!
 
Hivi mabibi afya na mabwana afya nchi hii wapo kweli?

Ripoti ya wafaransa imeeleza Kwa kina mama ntilie Tanzania ni wachafu kuanzia kutooga, vyombo hawaoshi vizuri na ripoti imesema mama ntilie Tanzania ni sawa na mazingira ya kulelea watoto, yaani kwenye mama ntilie 10 basi saba huenda na watoto wadogo.

Rwanda kinara, imeonekana mama ntilie Rwanda wana usafi wa hali ya juu kuanzia mazingira hadi wao wenyewe, na wamepongezwa sana. Hivo tukaze buti ili mwaka mwingine walau tuongoze
Hizo ajira za mabibi afya ni za kudownload kwanza chuo ninachojua ni kimoja kule bukoba na ni wachache . Tatizo bongo watunga sera za maendeleo ni wanasiasa wa maji taka .
Jambo la kutilia mkazo alipewi kipaumbele na linapuuzwa ndo maana haya yote yanatokea .
Kazi ikifanywa Kwa weledi utasikia msiwanyanyase ni wapiga kula wetu wakinamama masikini yaan total bullshit na magonjwa yanakuwa kibao .
Kazi anapewa mtendaji eti akague usafi masokoni , kwenye migahawa na kwingine unadhani Kuna nn hapo zaidi ya kubrash kazi tu .

In order to put every one on board we should respect boundaries period.
 
Asee kabisa. Kuna mahali nilipita sasa nilikuwa naenda chaka fulani kwenye mbishe zakuchimbua chimbua kutafuta hela kuna maza anauza vitafunwa ule mfuko wakuwekea kitafunwa haukuwa unafunguka akaweka mdomoni akapuliza ili ujae upepo ufunguke. Tokea siku hiyo asee nikaacha kabisa kununua vitafunwa.

Gross🥶
Hahaha duh! Aisee nilivyo na kinyaa ningemwambia sichukui tena nimuache na uchafu wake huh!
 
3.Kufuta meza na "Sponchi" lenye maji ya sabuni kisha haendi kuosha mikono baada ya kushika spochi la sabuni ,akitoka hapo anaenda kushika chapati au maandazi anakuwekea yaani ni muchafu uchafu.

4.Kuna baadhi ya mama lishe huwa wanarudisha chakula alichobakisha mteja na kwenda kukichanganya na kilichopo na kuwapa wateja wapya.

5.Kutumia viungo vilivyoharibika kutengeneza mchuzi(nyanya masalo au maparachichi mabovu yaliooza kutengeneza juice) au kutumia unga au mchele mbovu ,mafuta wanayotumia kupikia ni yale waliyokaangia samaki au nyama hata kwa mwezi mzima hadi yanakuwa meusi kama mkaa.

6.Mijasho na Minywele kudondokea kwenye jungu la chakula ,utakuta mpikaji ana minywele hata hajafunika na mijasho "iyaaa: inamtiririka mingine inaingia kwenye jungu.
Kuanzia no 3 hapa nimeshuhudia kwa macho yangu,kuna jamaa amewahi kuniambia kuwa kwa Dar akina mama ntilie wengi mafuta wanayopikia mengine yame-expire lakin wao wana-mix na mafuta mazuri
 
Watanzania ni wachafu by nature , uchafu na kukosa ustaarabu , we angalia tu majitu yanavyo behave kwenye vyoo vya public ,
Takataka kabisa ,
Ukitaka kujua jinsi jamii haijastaarabika angalia tu suala la usafi
 
Yaani jitu linaingia chooni linajisaidia bila kusafisha
Upumbavu sana
 
Kuna kitu hakipo sawa kwenye vichwa vya Watanzania , jamii ya kitz ni ya watu wa ovyo ,ni wonder hata uongozi ni product ya jamii hii hii ya kishenzi
 
Hivi mabibi afya na mabwana afya nchi hii wapo kweli?

Ripoti ya wafaransa imeeleza Kwa kina mama ntilie Tanzania ni wachafu kuanzia kutooga, vyombo hawaoshi vizuri na ripoti imesema mama ntilie Tanzania ni sawa na mazingira ya kulelea watoto, yaani kwenye mama ntilie 10 basi saba huenda na watoto wadogo.

Rwanda kinara, imeonekana mama ntilie Rwanda wana usafi wa hali ya juu kuanzia mazingira hadi wao wenyewe, na wamepongezwa sana. Hivo tukaze buti ili mwaka mwingine walau tuongoze
Ndiyooooooooo
 
Hivi mabibi afya na mabwana afya nchi hii wapo kweli?

Ripoti ya wafaransa imeeleza Kwa kina mama ntilie Tanzania ni wachafu kuanzia kutooga, vyombo hawaoshi vizuri na ripoti imesema mama ntilie Tanzania ni sawa na mazingira ya kulelea watoto, yaani kwenye mama ntilie 10 basi saba huenda na watoto wadogo.

Rwanda kinara, imeonekana mama ntilie Rwanda wana usafi wa hali ya juu kuanzia mazingira hadi wao wenyewe, na wamepongezwa sana. Hivo tukaze buti ili mwaka mwingine walau tuongoze
Mkuu usipate tabu yoyote,

Unaonaje ukibaki huko huko Rwanda ili ule vya watu wasafi?
 
Kuanzia no 3 hapa nimeshuhudia kwa macho yangu,kuna jamaa amewahi kuniambia kuwa kwa Dar akina mama ntilie wengi mafuta wanayopikia mengine yame-expire lakin wao wana-mix na mafuta mazuri

Acha tu mkuu ,mimi kwa mamalishe nakula supu tu na chapati ,miwali au miugali silagi mara mia nile chips kuliko miugali au miwali ya hamira.
 
Umekuwa nzi😆?
Bongo uchafu ndio unaleta ladha. We jifiche pembeni ya mama ntilie wakiwa wanaandaa chakula, angalia tangu wanaanza hadi mwisho, ni uchafu mtupu. Lakini ndio watu wanakula na unaona vitambi huko mabarabarani.
 
Back
Top Bottom