Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrangi inakuaje...long time sanaWarwanda wasafi bana
Huko hakuna uchawa uchawa
Ova
hata wakituwekea mashindano ya mizagamuo tutashika mikia. labda watuwekee mashindano ya ushirikina.Inasikitisha sana kila kitu kuwa washika mkia
🤣🤣🤣🤣Tangu nikute nzi kwenye bakuli la mboga.kaganda kakaukaa.mpaka leo napika mwenyewe chumbani kwangu.
Sahihi, kuna wateja kwa mama ntilie huwa wanapitiliza hadi jikoni kuonja msosi!Mama ntilie wabongo Mazoea yamezid kwa wateja yanasababisha wanakuwa wavivu na wachafu wanasahau majukumu yao ya kazi.
PK effect. Vile Rwanda na watu wake leo ni matokeo ya Kagame. Na kwa kua ni ka nchi kadogo rahisi kudhibiti na kusisimua mabadiliko kwa urahisi. Tz imejaa vichwa vyenye laana.Ni vile nchi yao ndogo tu sasa ikiwa chafu wangekuwaje? Ila tangu nakua watu wachafu walifananishwa na wanyarwanda, nimekua nikabahatika kuishi nao hao watu ni wachafu na wavivu ovyo kabisa, mitandao inadanganya sometimes
Usafi wala sio gharama ki hivyo, kutenganisha jagi la kunawia na la kuchotea maji safi kwenye ndoo au sufuria ni gharama sana??Tusijisahau na kuwalaumu tu mama ntilie, je wateja wanaweza kumudu gharama za usafi wa baadhi ya gharama au wateja ndiyo wanaosababisha mama ntilie kuleta mazoea katika biashara zao.
Kama uko bongo wala hauihitaji hiyo ripoti.Ripot iko wapi mkuu tujisomee wenyewe
Tz ni vinara wa unafiki, kufuatilia udaku wa mitandaoni na kuwa mazwazwa kwenye swala zima la kuongozwa kama makondoo.Inasikitisha sana kila kitu kuwa washika mkia
Mkuu, mimi nakula kuku wa kienyeji na kitimoto mara moja moja. Sijawahi kumla paka, ila kama kuna wanaokula, sitashangaa. Hii dunia ina mengi nisiyoyajua, ikiwa ni pamoja na tamaduni za watu.Binadamu kale aliliwa sababu ya spiritual. Kulikuwa na ibada maalum inayoleta maana ya mtu kuliwa. Unakula paka ina mana bata huwaoni au?
Aachana na bongo miji mingine je?Kama uko bongo wala hauihitaji hiyo ripoti.
TZ ingekuwa na dictator kama Kagame na raslimali zake zote ilizonazo, Nina uhakika tungekuwa first World tunashindana na nchi za Europe au at least South AfricaPK effect. Vile Rwanda na watu wake leo ni matokeo ya Kagame. Na kwa kua ni ka nchi kadogo rahisi kudhibiti na kusisimua mabadiliko kwa urahisi. Tz imejaa vichwa vyenye laana.