Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli hii huwa nanunua maziwa kwao wapo makini. Ukienda kibanda umiza (wenyewe wanaita hotel) cha wabongo asee mhudumu tu kikwapa ndio harufu ya eneo zima hajaoga hajapiga mswaki.Wanyaruanda tunao uku kwetu ata wanavyo andaa maziwa yao tangu ukamuaji,vigaa vya kutunzia, mpaka mtindi kila kitu kipo safi. Uwezi kukuta maziwa ya mnyaruanda ameyawekea maji kamwe ila wabongo sasa.
Hao ni mama ntilie wa Tanzania, kukuta mende, nzi, nywele ni kawaida kabisaTangu nikute nzi kwenye bakuli la mboga.kaganda kakaukaa.mpaka leo napika mwenyewe chumbani kwangu.
Mama ntilie wengi wa bongo Yale maji yakusuuzia huwa hayana tofauti na Yale ya kuosheaTangu nikute nzi kwenye bakuli la mboga.kaganda kakaukaa.mpaka leo napika mwenyewe chumbani kwangu.
Hivi mabibi afya na mabwana afya nchi hii wapo kweli?
Ripoti ya wafaransa imeeleza Kwa kina mama ntilie Tanzania ni wachafu kuanzia kutooga, vyombo hawaoshi vizuri na ripoti imesema mama ntilie Tanzania ni sawa na mazingira ya kulelea watoto, yaani kwenye mama ntilie 10 basi saba huenda na watoto wadogo,
Rwanda kinara, imeonekana mama ntilie Rwanda wana usafi wa hali ya juu kuanzia mazingira hadi wao wenyewe, na wamepongezwa sana.
Hivo tukaze buti ili mwaka mwingine walau tuongoze
Kwahiyo unaunga mkono ripotiKweli hii huwa nanunua maziwa kwao wapo makini. Ukienda kibanda umiza (wenyewe wanaita hotel) cha wabongo asee mhudumu tu kikwapa ndio harufu ya eneo zima hajaoga hajapiga mswaki.
Haya mengine haya hapa hivi wale bibi afya na babu afya hawaajiliwi siku hiziMamlaka zimeachaje wauza juisi mitaani kutumia chupa za maji zilizotumika na kutupwa ovyo?
Wakuu, hivi Mamlaka zetu lini zitakuwa macho kukemea na kujali Afya za watu wake? Kuna mambo ya ajabu sana yanafanyika waziwazi mitaani lakini Mamlaka ziko kimya, hivi inakuwaje Watu wanauziwa Juisi au Pilipili za kusaga masalo mitaani na Serikali ipo inaangalia tu. Zile chupa zinaokotwa baada...www.jamiiforums.com
Nyama za kukaanga anashika tu na mikono anaweka kwenye bakuli. Nikasema ehee.mtu hanawiii.HapanaMama ntilie wengi wa bongo Yale maji yakusuuzia huwa hayana tofauti na Yale ya kuoshea
Maji ya kusuuzia vyombo yanatakiwa kuwa masafi na ya moto sana ili kuua bacteria
Asee kabisa. Kuna mahali nilipita sasa nilikuwa naenda chaka fulani kwenye mbishe zakuchimbua chimbua kutafuta hela kuna maza anauza vitafunwa ule mfuko wakuwekea kitafunwa haukuwa unafunguka akaweka mdomoni akapuliza ili ujae upepo ufunguke. Tokea siku hiyo asee nikaacha kabisa kununua vitafunwa.Kwahiyo unaunga mkono ripoti
Kwanza alikuwekea mate ndio akakuchanganyia na vitafunwa ukaondokaAsee kabisa. Kuna mahali nilipita sasa nilikuwa naenda cha fulani kwenye mbishe zakuchimbua chimbua kutafuta hela kuna maza anauza vitafunwa ule mfuko wakuwekea kitafunwa haukuwa unafunguka akaweka mdomoni akapuliza ili ujae upepo ufunguke. Tokea siku hiyo asee nikaacha kabisa kununua vitafunwa.
Gross🥶
ni kweli. ila rwanda ina safari ndefu bado kujiweka ligi moja na tz. wasubiri kwanza.Hivi mabibi afya na mabwana afya nchi hii wapo kweli?
Ripoti ya wafaransa imeeleza Kwa kina mama ntilie Tanzania ni wachafu kuanzia kutooga, vyombo hawaoshi vizuri na ripoti imesema mama ntilie Tanzania ni sawa na mazingira ya kulelea watoto, yaani kwenye mama ntilie 10 basi saba huenda na watoto wadogo,
Rwanda kinara, imeonekana mama ntilie Rwanda wana usafi wa hali ya juu kuanzia mazingira hadi wao wenyewe, na wamepongezwa sana.
Hivo tukaze buti ili mwaka mwingine walau tuongoze
Ilikuwa amefanya hivyo kwa mtu wa mbele yangu. Sikununua tena tokea hapo arif. Ila kanda ya nyonyo asee watu ni sio wastaarabu. Ni wachafu kwa tuliotokea kule mlimani tulipata tabu kuzoea.Kwanza alikuwekea mate ndio akakuchanganyia na vitafunwa ukaondoka
Huku anajichokonoa puaNyama za kukaanga anashika tu na mikono anaweka kwenye bakuli. Nikasema ehee.mtu hanawiii.Hapana
Sasa hivi nanunua mchele wangu nusu na robo napika asubuhi nakula mpaka usiku.
Umeongea ukweli mkuu. Kanda ya ziwa Kuna shida mahali kuhusu usafi.Ilikuwa amefanya hivyo kwa mtu wa mbele yangu. Sikununua tena tokea hapo arif. Ila kanda ya nyonyo asee watu ni sio wastaarabu. Ni wachafu kwa tuliotokea kule mlimani tulipata tabu kuzoea.
Yaani hyo ripoti ni 💯 %.sipingi hata chembe. Maana yamenikutaHuku anajichokonoa pua
Ova
Ila wabongo ustaarabu Ziro kabisa. Mtu anapuliza mfukoni anakuwekea vitafunwa na Wala haoni shida.Kwanza alikuwekea mate ndio akakuchanganyia na vitafunwa ukaondoka