Katika wote ni yupi mwenye umaarufu wa Wema. Wote hao wanateseka kwa njaa kipindi hiki hakuna Mabwana wala Masugarmamy
Kwenye magazeti ya Shigongo labdaWema kiboko yao peke yake ndo anauza Headline
hivi hakuna movie mpya ?
Na huu ndo ukweli has a, Kanumba asingekubali kutumika kipumbavu hivi. Ccm kama taasisi inayoajiri na kulipa lazima idaiwe hilo halina ubishi. Walioihudumia ccm wakati wa kampeni wengi bado wanaidai ikiwemo watu binafsi na VIKUNDI. Si rahisi na kwa hali ilivyokuwa mwaka Jana wasanii wote kulipwa kwa wakati mmoja kama kweli Kazi waliyofanya ilihtaji malipo. Kanumba Mungu aendelee kukuweka pazuri, ila ninalokulaumu ni kutoacha mrithi halisi wa tasnia ya sanaa. Umetuachia wachumia tumbo wasiojitambua na wanaotumika kama big G.Kanumba alikufaga na sanaa yake,sasa hivi najionea mapichapicha tu
simalenga ndo organiser wa hicho kijimkutano,hata ke steve yeye ndo alifungaYaani nimeshangaa sana eti yule SIMALENGA wa clouds na yeye yupo hapo. Duuh kweli hii ni hatari sana..
Upuuzi mtupu
ha hahaa kanumba kaondoka na ustelingi wake duhwatu wametoka lokesheni... wana edit kidogo hlf itatoka... sema ndo hatujajua stering atakua nani safari hii.. maana wengine wanakufa kwenye maua mapema sana
Nafikiri umetumia macho bila masikio...wenyewe wameeleza kuwa wao walikuwa wabeba mabegi wa Wema Sepetu na alishawalipa. Kitu ambacho wameshindwa kuelewa ni kuwa Wema ambaye ndie mkandarasi ndio hakulipwa.Mbona sioni msanii wa bongo movie hapo?
nusu mwaka huo shauri yaoItoke wap