Mama ongea na Mwanao Wamkana Wema Sepetu

Kumbe tuna wasanii matahira hivyo?
Wamekwama kufanya bongo movie wamekuja kutumika kwenye siasa mkuu...!

Kazi mnayo! Afu utawasikia wakisema wananchi hamsapoti kazi zao...

Kama kazi zenyewe ni drama sasa unasapoti nini...?
 
Hii nayo ni campaign au vipi , maana kama namuona captain Kombi
 
Hata mimi sijawahi kuona kada wa chama anayelipwa apige kampeni ili chama chake kishinde uchaguzi. Labda neno 'kada' linamaana tofauti siku hizi.
 
sisiem wanawalipa wasanii kuwashika maskio wananchi.Ccm hoyeee
 
Wote wanatafuta kitembelea nyota ya Wema
 
wakwendage uko... tuko biz na daudi wasituchanganye...
 
Reactions: lcm
''Waandishi'' wa habari wa TZ ni majanga kwa kweli. Acha ile board aliyoianzisha Nape ije tu maana hakuna hamna.
 
Wakati tunaendelea na mijadala serikali mdogomdogo inaelekea dom tutashka siku tunaambiwa magu anaondoka kesho....kama kunatilewa ktk hoja za msingi vile?
 
Hakuna celebrity wa kike alikaa kwenye game miaka 11 na bado anawakimbiza. Wote hao takataka kwa Wema
 
Wema anajua kutafuta kick
sasa kawapata wapuuzi
na huyu mwezi huu ndio mwisho kwake
hii kick inabuma vibaya
 
SHIGONGO KADAI HELA ZAKO WENZIO WOTE WAMELIPWA WEWE KILA SIKU UNAPEWA MAJI YA KUNYWA YA MIA TANO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…