Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Fani ya bongo movie ina vichaa wengi na wanaotumika, ndo maana wasanii wetu maskini sababu ni vilazer wenzao wa Hollywood ni mabilionea wao wamebaki kutumika na ccm na wakijisahau kuboresha movie