Mama Rwakatare ni Mtakatifu au Mtakavitu?

Mama Rwakatare ni Mtakatifu au Mtakavitu?

Mh cna uwezo wa kuyavumilia yale maumivu ya moto wa milele, listen guys simtetei mama Rwakatare na wala simpondi, bt a juc want 2 give u a caution, inawezekana kateleza kidogo plse dont use the weakness she has against her coz haitobadilisha ukwel ni m2mish wa mungu na bdo ataendelea kumtumikia mungu wake anaemwamini,Kla m2 anafanya kaz ili aweze kujikimu kimaisha asa kinachowashangaza hapo ni kitu gani?
 
Maneno gani wanamjazia Mhe. hayu .. Wanauwa wanaume wao ili tusienjoy mademu zetu Kwa uchoyo wa MAISHA wafe Tu.. Marioo waongezeke ili interchange iwe Tamu kabisa.

Kazi ya kutengeneza wasio na HELA inaongezeka na Wenye HELA waanze kujaziwa mademu. Mwenyewe HELA mmoja mademu 10

 
Jet Lee wanaume wako Kwa ajili ya wanawake na watu inabidi waongee Sana ili kujua how shit they are wafe. Tu


 
Huyu cate sijui katelina mbona haeleweki?? Mods wamelala?
 
Labda leo ntamwelewa mleta uzi, maana jana nimesema nyuzi zake mbili including huu, simuelewi kabisa licha ya Kiswahili kutumika.
 
Labda leo ntamwelewa mleta uzi, maana jana nimesema nyuzi zake mbili including huu, simuelewi kabisa licha ya Kiswahili kutumika.
Sifa za kijinga wafe Tu nitakufanya uelewe Kwa kukufunua kichwa mheshimiwa

 
Maneno gani wanamjazia Mhe. hayu .. Wanauwa wanaume wao ili tusienjoy mademu zetu Kwa uchoyo wa MAISHA wafe Tu.. Marioo waongezeke ili interchange iwe Tamu kabisa.

Kazi ya kutengeneza wasio na HELA inaongezeka na Wenye HELA waanze kujaziwa mademu. Mwenyewe HELA mmoja mademu 10


Tapeli tu mbona hana mime
 
Nimeupenda uwasilishaji wako wa hoja kwani umeitendea haki fasihi! Kuna ujumbe muhimu sana kwenye andiko lako lakini wengi wa wachangiaji umewaacha mbali!
Your article is very satirical na wengi umewafumba! Upo vizuri na mbele ya wakati! Ni kweli pesa za matumizi ya Mambo ya hovyo we have more than USA! Bravo!
SASA wafe Tu maana tulidhani KAZI kumbe Yuko vizuri huu mfumo sijui Nani atauchukua zaidi ya Finally hela za kutamani bongo bahati mbaya karibu Ulaya finally out Tanzania has more money than Misri
 
Duh...!.
P
Nimeupenda uwasilishaji wako wa hoja kwani umeitendea haki fasihi! Kuna ujumbe muhimu sana kwenye andiko lako lakini wengi wa wachangiaji umewaacha mbali!
Your article is very satirical na wengi umewafumba! Upo vizuri na mbele ya wakati! Ni kweli pesa za matumizi ya Mambo ya hovyo we have more than USA! Bravo!
SASA wafe Tu maana tulidhani KAZI kumbe Yuko vizuri huu mfumo sijui Nani atauchukua zaidi ya Finally hela za kutamani bongo bahati mbaya karibu Ulaya finally out Tanzania has more money than Misri
 
Back
Top Bottom