Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
We mwenyewe unajua kabisa ipi unaenjoy,jibu unaloIpi una enjoy zaidi kavu au na zana?
Duhh.....Turekebishe mzungu wewe
Sasa umejuaje ,,,haya nawe uliza swaliDuhh.....
Naweza nikaumbuka mkuu....
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] asanteWe mwenyewe unajua kabisa ipi unaenjoy,jibu unalo
Haya bhana ila haina umuhimu expouse kwa watuChuo cha kata[emoji6] furahi basi
Ulishawahi kuombwa mapenzi kinyume na maumbile? Au binafsi ulishawahi kutamani kujaribu?We mwenyewe unajua kabisa ipi unaenjoy,jibu unalo
Ugonjwa wangu huu...Ni mtoto wa mwisho
Mrefu,mweusi halaf bonge la flat screen
Kwanza awe mchangamfu ili nikiwa nae nisiboreke na nisipokuwa nae karibu nilie kabisa ,,Mama Sabrina unataka mumeo awe Na sifa zipi
DJ sepetu
Mumeo akiwa mlevi utamsaidiajeKwanza awe mchangamfu ili nikiwa nae nisiboreke na nisipokuwa nae karibu nilie kabisa ,,
Awe smart kichwani ,na uwezo kutafuta pesa ili tuishi vizuri
awe mrefu kiasi na mwili wa mazoezi kiasi tu akivaa tishet au shati nichanganyikiwe ,
Awe anajua mapenzi maana hapa sasa ndipo napopenda na anipe muda wowote nikitaka hata kwenye kichaka ( Ushimen group o hapa linafanya kazi haswa
Tuwe kama kumbikumbi anapoenda nipo ,huwa sipendi kuwa kufuli mie
Upi flat screen?Ugonjwa wangu huu...
Ayaaa! Mama Sabrina. Umetaja wajihi wangu.Kwanza awe mchangamfu ili nikiwa nae nisiboreke na nisipokuwa nae karibu nilie kabisa ,,
Awe smart kichwani ,na uwezo kutafuta pesa ili tuishi vizuri
awe mrefu kiasi na mwili wa mazoezi kiasi tu akivaa tishet au shati nichanganyikiwe ,
Awe anajua mapenzi maana hapa sasa ndipo napopenda na anipe muda wowote nikitaka hata kwenye kichaka ( Ushimen group o hapa linafanya kazi haswa
Tuwe kama kumbikumbi anapoenda nipo ,huwa sipendi kuwa kufuli mie
Napenda zaidi asiwee mnywaji wa pombeMumeo akiwa mlevi utamsaidiaje
DJ sepetu
expouse... ndiyo nini mkuu,kama hakuna haja yakuchanganya lugha usijilazimishe.
Sawa,ila kuwa makiniAyaaa! Mama Sabrina. Umetaja wajihi wangu.
Mrefu, maji ya kunde, mazoezi kidogo,kichwani nipo vizuri (75%).
Nikija Mza nakusaka.